Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukariri,mambo hayapo straight kama unavyojarubu kuelezea. Siyo kila single maza kazaa na mume wa mtu,pia siyo kila mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa anapitia maisha magumu..siyo kila aliye zaliwa ndani ya ndoa na wazazi wakaachana anapata support kutoka kwa ndugu.. mifano ipo mingi mnoo.Acha kukariri mamboNdoa kuvunjika, hapo usingle mother haupo.
Watoto huwa huru kupata huduma ya wazazi wote wawili, watoto hutambulika kwa ndugu wote,
Ila ukizaa na mme wa mtu aisee,..
Pasua kichw sana,
Kwanza mtoto hufichw kama ARVs...
ni kweli ni 2022 ndo mana dunia imehama orbit yake na sasa inajibilingisha inavyotakaNi mwili wake mwenyewe na kama anaweza kumtunza mwenyewe hana deni na mtu akiamua kuzaa na anayemtaka..hii ni 2022 sio 1960
Ndoa kuvunjika, hapo usingle mother haupo.
Watoto huwa huru kupata huduma ya wazazi wote wawili, watoto hutambulika kwa ndugu wote,
Ila ukizaa na mme wa mtu aisee,..
Pasua kichw sana,
Kwanza mtoto hufichw kama ARVs...
Katoliki ndoa haivunjiki,Kwa hiyo waliotoka kwenye Ndoa wanaitwaje?
Jichanganye sweet friend 🤣🤣Mbona nina mpango wa kumbebea mapacha, itakuaje sasa🤣🤣
Ndio naenda kujichanganya hivyoJichanganye sweet friend 🤣🤣
Msimamo mzuri, sema ndio mwanzo wa kwenda kutafuta faraja kwa mitume na manabii na kuwa followers wa failures wa ndoaNi mwili wake mwenyewe na kama anaweza kumtunza mwenyewe hana deni na mtu akiamua kuzaa na anayemtaka..hii ni 2022 sio 1960
Huko kwa hao mitume mbona wanaenda hata wenye waume? Ishu ni elimu tuMsimamo mzuri, sema ndio mwanzo wa kwenda kutafuta faraja kwa mitume na manabii na kuwa followers wa failures wa ndoa
huyo hajui mkuu... mahakama ziko nyingi sana hata yeye kuna wakati anazipitia jina mahakama itakuwa limemchanganya..kuna mahakama za kijamii vile inakuona kwa ujinga wako au uovu wako kuna mahakama za kiroho hii ya pili watu wengi wako kwenye hiyo mahakama za kirohoWewe Kwa akili yako unajua sheria zipo mahakamani tuu pekee?
Kwa Uelewa wako dunia inaamuliwa na mahakama pekee yake?
Halafu akiona mtoto amepata mafanikio mwanaume anaanza 'oooooh mimi baba yake lakini hanishughulikii'.Ni mwili wake mwenyewe na kama anaweza kumtunza mwenyewe hana deni na mtu akiamua kuzaa na anayemtaka..hii ni 2022 sio 1960
Mbona nina mpango wa kumbebea mapacha, itakuaje sasa🤣🤣
[emoji276]hapa naona ulichangia ukiwa umelewaNi mwili wake mwenyewe na kama anaweza kumtunza mwenyewe hana deni na mtu akiamua kuzaa na anayemtaka..hii ni 2022 sio 1960
familia yako inaongozwa na sheria za mahakama?Ndio sheria zinazotambulika hizo, hizo nyingine ni huko huko kwenu
uliingiaje kwenye ndoa_uchwara?Aisee, attack on women. Sadism at work. Waacheni watu na maisha yao. Mnajua wamepitia mangapi. Yaani wengine wawepo kwenye ndoa uchwara kisa usingo mother. Fyuuuu