Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Acha kukariri,mambo hayapo straight kama unavyojarubu kuelezea. Siyo kila single maza kazaa na mume wa mtu,pia siyo kila mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa anapitia maisha magumu..siyo kila aliye zaliwa ndani ya ndoa na wazazi wakaachana anapata support kutoka kwa ndugu.. mifano ipo mingi mnoo.Acha kukariri mambo
hapa ulikuwa unajaribu kutetea ujinga
 
Hivi sasa hapa Tanzania kuna Wanawake wengi sana Wana mimba ambazo Baba zao hawaeleweki ni kina nani! Mimba zimetelekezwa tu.

Wengine Wamezaa kabisa lakini Wanaume wamekimbia na Wanalea wenyewe.

Wengine kwa sababu zao tu baada ya kupata mtoto wanavunja uhusiano na Mwanaume wanabaki wanalea mtoto tu.

Zamani kuzaa kabla ya kuolewa ilikuwa sio kawaida labda uwe umebakwa ila sasa kuzaa kabla ya ndoa imekuwa Fashion. Utakuta Wanachuo wengi sana Mwaka wa mwisho wana mimba lakini hawajaolewa. Mwisho wa siku uhusiano unakufa wanabaki na mtoto bila baba.

Unahisi kwanini siku hizi wanawake wanazaa kabla ya ndoa?

Je, kwanini kuna Single Mothers wengi mno? Nini kifanyike ili kuondoa tatizo hili? Maana ni jambo baya sana, mtoto akilelewa na Mama tu hawezi kuwa strong, atakuwa kirembo mno!!! Kuna haja kubwa sana mtoto kulelewa na Baba akiwepo.
 
Wewe ndo umeona tatizo lakini wengi wanazaa kwa mapenzi yao tu 😅😅😅

Na kuna wengine wanaishi na wanaume wao ila ni kama ma single maza tu
 
Kizazi hiki wanawake wengi ni Jeuri na Hawana tabia ya kutulia na Mwanaume mmoja, kitu ambacho kinapelekea mwanaume kutokuwaamini.

Pia katika mahusiano inatakiwa wote wawili mkubaliane kuwa mpo tayari kupata mtoto, ila wanawake wa skuhizi wanakushtukiza tu ghafla ghafla kuwa anaujauzito, hii sio sahihi coz kwa mwanaume kila kitu kinaenda kwa mipango sio kukurupushana.
 
Watu wanaenda kinyume cha asili ya mwanadamu lazima yatokee zaidi .
 
Kuna wale wadada ambao hata kufua nguo zao hawawezi. Kupika kwao ni jambo la hatari, hapo huyo ni single mama mtarajiwa aisee
 
Tatizo umaskini

Tuvijana twa ovyo tunakataa ndoa

Tubinti twa saiv tunaendekeza nyege

Kinga hazitumiki ipasavyo

Mimba nyingine ni zile za kutegesha wakitarajia ndoa wakati hata hawajuani vizuri

Wapo wanaotembea na waume za

watu wakitarajia ndoa zitavunjika wao wataingia ndani ya nyumba

Single mother wa kujitakia kisa umri umeenda

etc etc etc
 
Wezenu Wanawake wakenya asilimia kubwa wanatumia mitandao ya kijamii na mda wao wanatumia kutoa elim kujadili kupata Nafsi za kufanya kazi nchi za nje Na mtu akipata Nafsi anawapa elimu wezake wafanye Nini ili wafike majuu huko Njoo Kwa dada zetu kwanza asilimia kubwa mnatumia mda mwingi kushauriana kuwanasa wanaume Yani asubuh had kunakucha mnawaza wanaume unategemea mwisho Wa siku kitatokea Nini kiufupi mda mwingi mngetumia kuwaza kuzalisha Mali na kutafuta fursa
 
Back
Top Bottom