Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Hivi sasa hapa Tanzania kuna Wanawake wengi sana Wana mimba ambazo Baba zao hawaeleweki ni kina nani! Mimba zimetelekezwa tu.

Wengine Wamezaa kabisa lakini Wanaume wamekimbia na Wanalea wenyewe.

Wengine kwa sababu zao tu baada ya kupata mtoto wanavunja uhusiano na Mwanaume wanabaki wanalea mtoto tu.

Zamani kuzaa kabla ya kuolewa ilikuwa sio kawaida labda uwe umebakwa ila sasa kuzaa kabla ya ndoa imekuwa Fashion. Utakuta Wanachuo wengi sana Mwaka wa mwisho wana mimba lakini hawajaolewa. Mwisho wa siku uhusiano unakufa wanabaki na mtoto bila baba.

Unahisi kwanini siku hizi wanawake wanazaa kabla ya ndoa?

Je, kwanini kuna Single Mothers wengi mno? Nini kifanyike ili kuondoa tatizo hili? Maana ni jambo baya sana, mtoto akilelewa na Mama tu hawezi kuwa strong, atakuwa kirembo mno!!! Kuna haja kubwa sana mtoto kulelewa na Baba akiwepo.
Wameamua kupunguza abortion.
Kataa kutoa utelezi siku ya hatari na hakikisha unayempa ametumia kinga.
Ila wanaume wenzangu sijui mnawezaje kukataa mimba unayojua ya kwako halafu maisha yakaendelea
 
Hivi sasa hapa Tanzania kuna Wanawake wengi sana Wana mimba ambazo Baba zao hawaeleweki ni kina nani! Mimba zimetelekezwa tu.

Wengine Wamezaa kabisa lakini Wanaume wamekimbia na Wanalea wenyewe.

Wengine kwa sababu zao tu baada ya kupata mtoto wanavunja uhusiano na Mwanaume wanabaki wanalea mtoto tu.

Zamani kuzaa kabla ya kuolewa ilikuwa sio kawaida labda uwe umebakwa ila sasa kuzaa kabla ya ndoa imekuwa Fashion. Utakuta Wanachuo wengi sana Mwaka wa mwisho wana mimba lakini hawajaolewa. Mwisho wa siku uhusiano unakufa wanabaki na mtoto bila baba.

Unahisi kwanini siku hizi wanawake wanazaa kabla ya ndoa?

Je, kwanini kuna Single Mothers wengi mno? Nini kifanyike ili kuondoa tatizo hili? Maana ni jambo baya sana, mtoto akilelewa na Mama tu hawezi kuwa strong, atakua kirembo mno!!! Kuna haja kubwa sana mtoto kulelewa na Baba akiwepo.
Hili kuna wanaoona ni tatizo lakini wengine wanazaa kwa mapenzi yao kabisa na wamekubali kuwa single mama kwa sabb hawataki shuruba za kusumbuliwa kila saa kuulizwa uko wapi au ile kuomba ruhusa mimi nataka kutoa na mengine kama hayo.

Pili tatizo linaanzia katika malezi na makuzi ya mtoto toka akiwa mdogo kama alikua katika mazingira ambayo mama hajali ndoa na kuheshimu ndoa yake basi usitegemee na yeye akafikiria kuishi maisha ya familia.

Tatu makundi rika nalo ni tatizo lingine linalochangia sana kuwa na single mama wengi nchini kwani unakuta mtu anatamani kuolewa au kuwa kwenye mahusiano kwa sabb marafiki zako wote wana wachumba wanatoka kila mwisho wa wiki, nawe unajikuta umetamani kuanzisha mahusiano ambayo sio salama sana kwa wakati huo.

Kingine ni tamaa ya kuwa na vitu vya gharama ambayo wazazi wako hawana uwezo navyo, inapelekea kuanzisha mahusiano hata na watu wazima ambao wan a ndoa zao hivyo kuwa single kwa mukitadha huu haitaepukika,.

Sasa ninikifanyike ili kuepuka au kupunguza idadi ya single mama.

1. Wazazi kuwaambia ukweli mabinti zao na kuwafundisha maadili.
2. Pili kuacha kutamani kuishi maisha ya kwenye movie
3. Kufuata maadili ya kiafrika
4. Kuwa na nidhamu binafsi
5. Kufanya kila jambo kwa wakati wake
 
Back
Top Bottom