Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
hapa ulikuwa unajaribu kutetea ujingaAcha kukariri,mambo hayapo straight kama unavyojarubu kuelezea. Siyo kila single maza kazaa na mume wa mtu,pia siyo kila mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa anapitia maisha magumu..siyo kila aliye zaliwa ndani ya ndoa na wazazi wakaachana anapata support kutoka kwa ndugu.. mifano ipo mingi mnoo.Acha kukariri mambo
Unaongelea kula nyama ya mgongo? Ama???Watu wanaenda kinyume cha asili ya mwanadamu lazima yatokee zaidi .
π€£π€£Naongelea haki sawaUnaongelea kula nyama ya mgongo? Ama???
Swadakta sheikhπ€£π€£Naongelea haki sawa
π₯ π₯JamiiForums, Moderator , Mhariri naomba kichwa cha habari kisomeke Tufanyeje kupunguza na kutokomeza kabisa tatizo la single mother badala ya
Tufanyeje kupunguza na kutokomeza kabisa tatizo la wmmm
You nailed it πMimba nyingine ni zile za kutegesha wakitarajia ndoa wakati hata hawajuani vizuri
Wapo wanaotembea na waume za
watu wakitarajia ndoa zitavunjika wao wataingia ndani ya nyumba
Single mother wa kujitakia kisa umri umeenda
Unafurahia??π₯ π₯