Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

Ktk aina 3 za single maza, mada yako inazungumzia aina ipi zaidi?

1.alieachika
2.aliezalia home
3.mjane
Mi nadhani kaongelea namba 1 na 3,, maana namba 2 haifai hata kumuita single mother,,maana hakua rasmi kindoa na wengi wao baba wa mtoto huwa hawamjui au anamjua lakini kamwe hatojitokeza hadharani kwake binti,,huyu pia si hajabu akawa bikra,safi kabisa afaaye kuelewa.
 
 
Wewe unachukia wanawake tunakujua, single mothers or not tunakujua topics zako
Mkuu mbona kila mtu anaekosoa au kutoa pendekezo la mahusiano unamuonaga mchukia wanawake?? Hivi hamnaga ukweli wowote kwenye hizi mada unaong'amua?? Hupendi ushauri mkuu au pengne lugha inatumika kali unavoona
 
ujue hadi kawa single mother ujue kuna mtu kamzalisha na kumwacha,hajajipa mimba mwenyewe ss wote tukiowa ambao sio single mother hawa masingle mother wataolewa na nani? Cha msingi ungesema usimzalize binti wa watu kama hamuowi,ili kupunguza wimbi la masingle mother, angalia chanzo cha tatizo na sio tatizo, masingle mother popote mlipo big up mnajielewa sn na kuteleza sio kuanguka!
 
Mkuu mbona kila mtu anaekosoa au kutoa pendekezo la mahusiano unamuonaga mchukia wanawake?? Hivi hamnaga ukweli wowote kwenye hizi mada unaong'amua?? Hupendi ushauri mkuu au pengne lugha inatumika kali unavoona
Profile ziko peculiar kila mwanamke anapozungumziwa negatively utawaona, is sick to watch iwe ukweli or not
 
Wewe unachukia wanawake tunakujua, single mothers or not tunakujua topics zako

Wanawake wenye Akili mgando, wahovyo,wasiotaka ukweli lazima wawe na maoni kama yako.

Bahati Njema huwaga hawanipi shida, hawana athari kwangu
 

Mtoto hawezi kuwa Wako wewe.
Mtoto wako ni Yule uliyemzaa wewe, kamwe usije ukajichanganya.

Kama unatoa msaada au unasaidia watu usisahau position yako.
Kumlea mtu hakukufanyi mtu huyo awe mwanao
Mtoto ni Yule uliyemzaa

Kuhusu kuoa single mother huo ni uamuzi wa Mtu Mkuu.
Mengine yote ni ushauri tuu kutokana na yaliyopo kwenye jamii
 

Unaweza ukamuoa na mkaachana.
Single mothers sio lazima awe hakuolewa. Wapo ambao wametoka ndoani kwa Talaka.

Wapo Single mothers wanaojielewa lakini ni 0.5 kwa Mia Moja
 
Dah aysee! "Wote ni sawa" bitter true
 
Wanawake wenye Akili mgando, wahovyo,wasiotaka ukweli lazima wawe na maoni kama yako.

Bahati Njema huwaga hawanipi shida, hawana athari kwangu
Hata wewe hautupi shida, uko messed up kichwani, wanaokusikiliza ni watu wenye akili mgando kama wewe, watu wanaojidai wanawajua wanawake yet background zao na wanawake ni maumivu tupu right from their mothers!,,,, mama yako aliyekuzaa humpendi ndio itakuwa mwanamke mwingine..?... msonyoooo!
 
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂 Nmechekaa eti msonyoooo
 

Wenye huu mtandao ambao ukoo wenu wote mkae hamwezi kuubuni na kuundesha, mwaka Jana wamenipa tuzo kwamba wanajua kile nikisemacho. Kama hao wanaakili mgando Sawa.

Mtu kuwa mamaangu/ako, mama wa watoto wangu, Mama WA wajukuu, haimaanishi akifanya ujinga ati ndio usisemwe.

Kwamba nikatae kuwa Single mothers sio Jambo mtambuka Kisa Mama mzazi au mama mkwe au Mamaako ni single mother?
Akili mgando bhana
 
Kuna siku ndugu yangu aliingia kwenye mazungumzo akawa kama ana beep akamwambia mama yake "hivi mama mtu akioa single mother imekaaje" mama Yake alimwambia ishia hapo hapo au umeshalogwa?

Bitter true mwanamke aliyezalishwa soko lake limekwenda na maji
 
Akili mgando mama 'ako!

Eti wanajua usemacho, una uhakika gani?...kukupa wewe narcissist tuzo is soo wrong, more likely walikuwa hawajui wafanyacho! And yes aliyekupa tuzo wewe punguwani ana walakini na yeye...wewe mbwa koko unapata gratification kuleta mada ambazo wanawake wenye akili wanapata ukakasi kuchangia. Yeyote aliyekupa tuzo hakuwa observant kuwa una damage wanawake emotionally. AMA he didn't care damage unayofanya humu..ambapo wewe na yeye mnapata gratification kuumiza wanawake kisaikolojia...anyway umepata nini na hio tuzo endorsements au????? Sana sana wame encourage your narcissistic behaviour...kama ulidhani tutavumilia mashudu yako kisa umepata tuzo...think again idiot sisi sio huyo mkeo
 
Kama unachoongea ni kweli embu eleza ni Kwa namna gani post hii imeonyesha chuki kwa Wanawake.

1. Kwamba kwenye jamii zote duniani single mother sio tatizo?

2. Kwamba single mothers hawawasiliani na Wanaume waliozaa nao Jambo ambalo waume Zao inawapa kero na usumbufu Mkubwa?

3. Kwamba mtoto wa single mother sio wako kama hukumzaa wewe?

Kuhusu hayo maelezo yako mengine yapo juu yako MWENYEWE na ukoo wenu na watoto wenu.

Ukizaa watoto wako waambie kuwa Single mother ni Jambo jema na linalokubqlikq kwenye jamii. Lakini humu na sehemu zingine wataendelea kusema Maneno hayahaya Mpaka kiama.
 
lakini huko mbeleni,kama hutaki single maza basi kuoa hutaweza tena maana kuzaa sasa ni simple tu,yaan kama fasheniiii,katoto kadoogo shwaaa tayar,sasa hadi kufikia umri wa kuolewa..........

kwanza mtuache tuzae kabla p2 hazijaozesha vizazi tuje tulie upweke huko miaka 30, wanaume waaminifu tukose,sasa na hata watoto jamaniiiii aaaah msitufanyie ivoooo.....
 
Hahaaa eti humu wataendelea kusema mpaka kiama, sema wewe narcissistic idiot ndio utaendelea kusema na wajinga wenzio mnaoshare character ndio mtaendelea kupayuka humu.....nyooo huoni hii post inavyoleta chuki kwa Wanawake, vaa miwani utaona pumbafu! By the way sijasema hili kutokana na hii topic peke yake sijajiunga JF jana kujua wewe mpuuzi ukileta topic kuhusu wanawake ujue ni ya kuwaumiza tu.......unaongelea single mothers mpumbavu wewe tangia uanze vita na single mothers wewe BINAFSI umeachieve nini ukiulizwa???..single mothers wamepungua???? Hawajaolewa??? Toa STATISTICS zako...?! Nakuuliza u QUANTIFY ulichoachieve humu....the answer is umeachieve NOTHING which means mashudu yako kuhusu wanawake single mothers, ni njia ya wewe na narcissistic idiots wenzio kupata gratification mbwa nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…