Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

My kutokuwa bikira haina maana ndio nivuevue chupi ndugu bado nina safari ndefu
Hata yeye atajiuliza kuwa kwanini umbanie au unataka kumwingiza mkenge asigundue labda
1. kitumbua kilishakatwa antena au
2. Unakitembeza sana kina gono pro max plus vipepe yaani kibaya baya tu. Au
3.Kinaharufu kali zaidi ya shombo la samaki. Au
4. Ni bwawa la kambale halina utamu.
Hapo utakula block na hutamuona tena.
 
kwendraaah

mwandiko wa dume huu.

wapi uliona demu haombi maokoto
 

Mmh mbona wengine wanakubali tu mpk ndoa
 
We Jhidanganye ,oghopa ,ni khatari ,mwanamme kamili hawezi kukaa muda wote huo! atakuwa siyo mzima au anasuza rungu pengine.
 
Nyie mnaosema kujasa server mnajua meseji ina kb ngapi? au mnazani zina MB.
Upumbavu wake jumlisha na upumbavu mingine ndio kujaza server. Halafu hizi sio sms kumbuka huku kuna kuweka video, pics n.k kwahy lazima zichukue nafasi kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…