Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda


Weee
 

Mambo gani muhimu munajadili Jf ndugu mkomentiji
 
utamkwaza sana na anaweza badili gia angani,

hivi unajua ndoa ni jumla ya yale mahitaji yote muhimu ambayo nyinyi wawili wanandoa watarajiwa mmethibitishiana na mmedhihirishiana kiroho na kimwili, kwa maneno na matendo kwamba kila moja kairdhika na alivyo mwenzie licha ya dosari na madhaifu ya kiroho na kimwili ya kibinadamu yaliopo?

ile ya kule kanisani na mahali pengine ni kudhihirisha tu kwa wazazi na kwa jamii kwamba sasa mtakua mnaishi pamoja ile ahabari ya kukutana kwa kificho hakuna tena....

ni kama dhambi ya uzinzi tu unaitenda kwanza moyoni halafu mkifika kule gest house kwenye vitendo ni kuithibitisha tu na kuigonga muhuri...

"zingatia kiroho na kimwili"
 
Utajuaje kama anayo hiyo ndogo bila kuiona? Utakutana na mkono wa tembo utoke mbio
Umenikumbusha mkasa mmoja

Kuna siku kuna Sista alikua anasimulia alikua na kibwana kimoja dereva wa Malori basi kipindi chote yapata Miezi 6 Jamaa alikua hajawahi kumgonga sasa huyo Sista akawa amemuomba Jamaa zawadi ya Simu, Jamaa akamwambia akirudi toka Zambia anamletea Simu watakutana sehemu basi siku zikasogea kweli siku ikafika Jamaa akarudi wakapanga wakutane 'Villa Hotel' Mawasiliano Simu 2000,

Kweli bibie akaenda mpaka Chumba Namba 10 wakawa wamepiga story za hapa na pale anampa zawadi yake ya Simu akafurahi sana Simu nzuri akaiset pale kila kitu wakatoka wakaenda kula chini tu pale kuna sehemu ya chakula baada ya kula wakapanda tena juu,

Sasa Sista akaenda kuoga akamaliza akarudi akamwambia Jamaa akaoge basi Jamaa akaenda kuoga aliporudi akarudi bila taulo Konga la Tembo 🍆 lipo nje nje tayari kwa shughuli

Sista ikabidi aishiwe pumzi na kuanza kumuomba Jamaa asimgonge,

Jamaa akamuuliza kwanini akasema lile Konga haliwezi ni kubwa sana basi Jamaa hakua na hiana akakubari hakufanya tamaa akasema Sawa basi tutalala hadi asubuhi bila kufanya chochote

Subiri inaendelea...
 

Aya nipe mbwinu ya kuepukana na mimbaa
 
Mmmh anatoka subwawanga mkuu mpk Dar nimuwekee tomato si bora nimwambie asije
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu
 
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu
We nenda kamgonge tu na ukishamaliza kumgonga ndio akili zinarudi unaona Bora hata usingemgonga ungefanya shughuli zingine tu maana umeingiza dushe kwenye Jaba unaonekana una kibamia
 
Haya nenda kasome uzi wake mwingine ndipo ujue huyo unayemtetea ni mpumbavu afu uje unambie umemuelewa vp huyu mwenzako

Wewe nae umeganda kwenye nyuzi zangu kwani huoni zingine huko unang’ang’ania upumbavu

Nimegundua unapenda mambo ya kipumbavu ndio maana umeganda humu
 
Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu

Njoo tu my tufanye biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…