Mkuu kwema , sawa hamna shida, nipatie mawasiliano yakoTuonane mwanza j3nipo buswelu nnadawa ya uhakika but napokea cash kwanza sababu kuna jamaa nimemtumia dawa aknidhulumu hela mm dawa nimeiandaa kwa thaman ya elf zaidi elfu 50
Vibichi kiongozi hakikisha umeviosha vizuri hasa kwa maji ya moto.Asante mkuu. Hivyo viazi unavichemsha kwanza ndo unasaga au unasaga vikiwa vibichi
Saidia watu kwanzaTuonane mwanza j3nipo buswelu nnadawa ya uhakika but napokea cash kwanza sababu kuna jamaa nimemtumia dawa aknidhulumu hela mm dawa nimeiandaa kwa thaman ya elf zaidi ya 50
Nitangulize salam kwanza kwa ndugu wote wana jamii forum, kama kichwa cha Habari hapo juu kinavoeleza, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo huu mwaka wa 6 naomba kwa yoyote anayefaham dawa au ameshatumia dawa amepona anifahamishe na mimi niondokane na hiii karaha, , nipo mwanza, natanguliza shukran kwa yeyote atakayenijuza
0782183441Mkuu kwema , sawa hamna shida, nipatie mawasiliano yako
Huu sasa ni utapeli namba aombwe mwingine utoe wewe au ni mtu mmoja Ids tofauti?0782183441
Hapa kwenye bamia,to ufafanuzi zaidi mkuu. Unafanyaje?Mtoa mada utapoteza pesa zako bureee kwanza kapime wingi wa gesi lakini anza na dozi ya bamia nakuhakikishia ndani ya miezi 6 utakua umepona kabisa fungu la bamia ni sh 500 tu
Samahani mkuu mapeke ya parachichi ndio niniChukua mapeke ya maparachichi,
licharange, anika kwenye jua lisilo kali, baada ya siku mbili limekauka, twanga au blend, chekecha, unga wake
chukua kijiko kidogo kimoja changanya na asali, lamba kutwa mara tatu, in seven days utakuwa sawa.
Hukuelewa ni check for more clarifications.
Upone haraka.
Asante sana , matumizi yake yakoje ?Mtoa mada utapoteza pesa zako bureee kwanza kapime wingi wa gesi lakini anza na dozi ya bamia nakuhakikishia ndani ya miezi 6 utakua umepona kabisa fungu la bamia ni sh 500 tu
Nipo kanda ya ziwa ,Mwanza yaani huku upatikanaji wa maziwa ya mbuzi na ngamia ni changamoto sana , yaani kiufupi nimekosa kabisaKunywa maziwa ya Ngamia ama Mbuzi wa Kondoa
fafanua nduguMtoa mada utapoteza pesa zako bureee kwanza kapime wingi wa gesi lakini anza na dozi ya bamia nakuhakikishia ndani ya miezi 6 utakua umepona kabisa fungu la bamia ni sh 500 tu
Karibu better health 0699254400Mkuu ni kweli mimi pia nna shida ya gesi nyingi sana tumboni. Vp ushauri wako nitumie dawa gani kukabiliana nayo?
Akhsante
kaka kwema,naomba unisaidie namba tuwasiliane nina tatizoKama upo Dar, nitakuunganisha na kijana wangu, akupeleke kwa mzee ambae yupo kibamba.
Anai amewapeleka watu, wamepona sasa wanakula maharage na Dagaa kama zamani, garama za dawa ni 50,000.