FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wala usihangaike, nakuanzisha tiba sasa hivi. Chukulia umeshapona. Be happy.Nitangulize salam kwanza kwa ndugu wote wana jamii forum, kama kichwa cha Habari hapo juu kinavoeleza, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo huu mwaka wa 6 naomba kwa yoyote anayefaham dawa au ameshatumia dawa amepona anifahamishe na mimi niondokane na hiii karaha, , nipo mwanza, natanguliza shukran kwa yeyote atakayenijuza
Anza kula mizizi ya mgomba mibichi, na yake magamba ya toto la mgomba (yale ) laini yanayolika> Osha vizuri mizizi kula kutwa mara tatu. Na yale magamba kula mara kwa mara.
Nipe majibu ndani siku tano, kama bado tumbo linakusumubuwa, ntakuongezea na mzizi mwengine wa kuchanganya, ulete mrejesho hapahapa JF, hiyo haijawahi kushindwa vidonda vya tumbo, hata vile sugu.
Wacha kula maharage mpaka utakapopona kabisa.