Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Utabiri uchwara
 
Huo utabiri wako wa masaa machache yajayo ndio masaa mangapi? Zishapita siku 2 sasa na hakuna kilichofanywa huko Iran mpaka sasa.
Ukae ukijua kuwa Iran sio Hizbollah wala sio Hamas na kamwe Israel haiwezi kupigana na Iran bila msaada wa USA
 
Mbna anachelewa Leo siku ya Tano ,mnaleta ngonjela tu kama Israel mwanaume arushe ata jiwe kwenye ardhi ya Iran aone
 
Mimi sijasema kuwa wewe ni Mjinga au zuzu,

Nilichosema Mimi ni Israelite Kwa Imani, na najivunia kuwa hivyo sababu Yesu aliokoa maisha YANGU pale msalabani.

Heshimu uamuzi wa wengine kama ambavyo usingependa kuvunjiwa Heshima.
Aisee...kaazi ipo..
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Nikuulize we Lokole la Mzee wa upako wa Mafuta ya Mwamposa, Vp kuhusu warumi waliowapa kipigo mwaka 70AD, wakalivunja hekalu na kuifanya nchi ya Israel kupotea uso wa dunia Kwa takribani milenia 2 (2000 yrs). Wakarejea hapo mashariki ya kati Kwa huruma ya Mwingireza, hapo Kwa mujibu wa maandiko waweza eleza nini kilijiri, na je ni nini kinachozuia Leo wasipokee hicho kichapo?!!.
 
Mimi sijasema kuwa wewe ni Mjinga au zuzu,

Nilichosema Mimi ni Israelite Kwa Imani, na najivunia kuwa hivyo sababu Yesu aliokoa maisha YANGU pale msalabani.

Heshimu uamuzi wa wengine kama ambavyo usingependa kuvunjiwa Heshima.
Aisee...kaazi ipo..
 
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Haya yote ni mahaba Kwa Israel ama umekodiwa tu?

Israel hata akiingia vita na alshabab face to face Bila msaada wa USA anapigika tu.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Bangi mbichi si poa!
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Hii ramli imeishia wapi 🤣🤣🤣🤣
 
Hii picha umeitoa wapi?

Inenifikirisha sana baada ya kuona namna huyo kijana alivyokaa kwenye godoro kama kalewa shibe ama usingizi, miikreti ya juice, mikate kibao, chakula juu ya jiko, glass zenye juice zaidi ya moja nk nk!

Kufuru yote ni ya nini!
Ndugu yako Netanyahu moja haikai mbili haikai hapo kajificha kwenye bomb shelters na gas yake ya ORYX anasongea Ugali
 
Mbaya zaidi wanasayansi wakubwa karibu duniani kote haijalishi ni raia wa USA, CANADA, GERMAN, FRANCE nk. Ukitrace route zao utakuta wanadamu ya kiyahudi hapo ndio shida inapoanzia.

Hii fact wengi hawaijui na inaonekana hawataki kuijua
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent [emoji2958]
Nimekusoma,ila wewe ni shabiki wa Israel kindakindaki sna
 
Back
Top Bottom