Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Aisee una matatizo ya akili, Sasa huko nyuma mhona waliwahi pigwa na babeli na warumi hadi wakatoweshwa makabila 10 yote utumwani.

Mungu angekua upande wao wala wasingehitaji risasi au makombora ila ingetokea tu miujiza wakashinda vita. Ila wao kushinda vita huwa wanasifia akili zao na teknolojia zao je Mungu anatukuzwa wapi hapo?

Hao jamaa wanategemea zaidi msaada wa marekani nakuhakikishia hapa siku mpunga wa USA ukikata ndio mwisho wa taifa la Israel.

Mungu hawezi kukaa na watu wanaoua vichanga na wamama wasio na hatia.
 
Huu ni mwisho utawala wa kidikteta wa Iran.
Sababu kajitengenezea yeye mwenyewe.
Kuanzia sasa Israeli imepata ruhusa na sababu ya kuipiga na kuisambaratisha katika kabisa katika siku na muda wowote ule

Huu sio mpango wa Leo au kesho.
Russia itakua wapi? Mbona huko Syria hao Israel walifeli..... maadam wao wanamtegemea USA basi tarajia urusi kuingia upande wa Iran, hivyo israel wasahau ushindi kabisa.

Tuombee amani maana wanaokufa ni wamama na watot wasioelewa hata chanzo cha mgogoro
 
Hapo napo ndipo akili Yako ilipoishia.
Hata wewe pamoja na huyo Mungu wako ndipo akili zenu zilipoishia.

Unasema Israel ni taifa la Mungu, Halafu juzi hapo limepigwa na makombora ya Iran.

Nakuuliza hivi, Huyo Mungu wa Israel alikuwa amesinzia ashindwe kuzuia hayo makombora yasitue kwenye ardhi ya taifa lake Israel?
 
anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe
Acha uongo, hii ahadi alipewa Abraham ambaye ana uzao mkubwa tu hata huko uarabuni so hata nyie mnaolaani waarabu waliokua shina la Ismailia au watoto wa Abraham kupitia mke wake Keturah nanyi pia mmelaaniwa kwa mukatadha wa hii neno. Cha ajabu watu mmehodhi mstari huu wa Mwanzo 12 kuwa ni wa Israel pekee.
 
Umebarikiwa sana Islael, mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye juu,
Acha uongo "mzaliwa wa kwanza" kwenye Biblia ni Yesu kristo hao Israel wapi imeandikwa kwenye biblia ni mzaliwa wa kwanza? Punguzeni kujikomba kwa wayahudi kwanza wanatuona manyani tu.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silsilent
Mmmh mbona kama tatizo la afya ya akili limeanza kuwa serious
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Israel ni Taifa la Mungu au Taifa la mashoga...?
Au huyo Mungu wa Israel ni bwabwa..?
 
Ilitabiriwa silaha za nuclear zitatumika 2024,

Ole wao Nchi tajiri za Africa zenye akili za kimaskini na tegemezi.

Muhimu ni kuwa tayari Kwa wakati unaofaa na wakati usiofaa.

Umebarikiwa sana Islael, mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye juu,

Umebarikiwa sana Tanzania, Nchi ya AGANO la mwisho.

Aamin
Mungu wa Israel anakuhusu na wewe mkinga...?
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Sasa targeted assasination we unadhani hizbullah au iran hawaziwezi ila waona ni sera famba idf wako mpakani hadi leo wakiingia tu wanekutana na mikomandoo haswa ya hizballah inapiga shaba balaa at zero distance mpaka leo hola yeye ni kujifariji na airstrikes tu halafu muiran anazalishwa missile kama sigara akiachia 1000 unadhani pale isrel kunabaki nini ni kiongozi mjinga tu kama Netanyahu anayedhani atafanikiwa kivita leo tu nusu ya waisrael wako kwenye bomb shelter na kaskazini haikaliki unawahakikishia raia wako kaskazini itakalika kwa mbinu zakijeshi za kuua political leader wakati askari na taasisi yao nzima matokeo kila siku unatia matatizo raia wako wanaishi kwenye bomb shelter huu sio uongozi wa kudharau na kutesa raia huu ni ubwana vita wa kijinga.
 
Acha uongo "mzaliwa wa kwanza" kwenye Biblia ni Yesu kristo hao Israel wapi imeandikwa kwenye biblia ni mzaliwa wa kwanza? Punguzeni kujikomba kwa wayahudi kwanza wanatuona manyani tu.
(Kutoka 4:22)

Mungu asema kupitia kinywa Cha Musa,

Israel ni mzaliwa wangu wa kwanza, mwanangu Mimi.

Yesu pia ni Mwisrael katika mwili sawasawa na unabii kuwa atatoka kabila la Yuda kupitia Yusuph aliyemlea mtoto Yesu.
 
Tofautisha kati ya Uyahudi na Israeli. Uyahudi ni Ukafiri, Israeli ya leo ni makafiri na wana lana ya nabii Daudi, Suleyman na wengine katika Mayahudi.
unaifahamu Biblia? huwa unaisoma? unajua kuwa Biblia ni Neno la Mungu lililoandikwa???

au unaleta tu hapa stori za madrassa.


JESUS IS LORD &SAVIOR
 
Mimi ni Mwisrael pure sababu I believe in Jesus,

Amwaminiye KRISTO anafanyika mwana wa Mungu, Mwisrael katika Roho.
Wewe ni Mtanzania, acha ujinga...
Hizo dini zimefanya watu kuwa mazuzu...
 
Wewe ni Mtanzania, acha ujinga...
Hizo dini zimefanya watu kuwa mazuzu...
Mimi sijasema kuwa wewe ni Mjinga au zuzu,

Nilichosema Mimi ni Israelite Kwa Imani, na najivunia kuwa hivyo sababu Yesu aliokoa maisha YANGU pale msalabani.

Heshimu uamuzi wa wengine kama ambavyo usingependa kuvunjiwa Heshima.
 
Back
Top Bottom