Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Kwas

Kwa sasa Istael inategemea Marekani na Teknolojia. Hivyo hawawezi kumwoba Mungu. Siku zinakuja ambapo Marekani haitakuwa upande wa Israel. Ndipo Israel atabaki mwenyewe na kutokuwa na msaada ila Mungu. Hapo ndipo Mungu atajidhihirisha na dunia yote itatambua kuwa kuna Mungu wa Israel.

Kwas

Kwa sasa Istael inategemea Marekani na Teknolojia. Hivyo hawawezi kumwoba Mungu. Siku zinakuja ambapo Marekani haitakuwa upande wa Israel. Ndipo Israel atabaki mwenyewe na kutokuwa na msaada ila Mungu. Hapo ndipo Mungu atajidhihirisha na dunia yote itatambua kuwa kuna Mungu wa Israel.
Nakuuliza ", kwenye bibilia mungu ka wa adhibu hao islael mara ngapi?, na kwa sababu zipi? ,na wapi mungu wa bibilia kasema hatomuadhibu islael pindi aki kosea bali ata waadhibu wengine?, hebu weka clearly hapa jukwaani na siyo kona kona au utashi wako (according to bibilia)
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
wacha ufala israel taifa la Mungu gani,halafu haya mambo ya israel ni taifa la mungu sijui wateule wanaongea waswahili tu huwezi kuta sehemu nyingine yoyote nje ya tanzania wanaongea huo upuuzi hata waisrael wenyewe,nyinyi nani kawafundisha hayo matango pori???hakika mzungu na kitabu chake biblia kawaweza waswahili
 
alijificha kwenye kundi la watu, Iran ilitangaza pale baada ya mkutano kwamba sio tu kwamba amepelekwa kujificha sehemu salama, bali yenye usalama wa hali ya juu.ni kwenye mahandaki chini kabisa. kisheria za vita, huwezi kupiga mkutano wa watu vile ni kosa la kivita hilo.
Myahudi na sheria za vita wapi na wapi?.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Umeutumia vibaya sana uhuru wako wa kutoa maoni humu jukwaani kwa kuleta uzi wa kipuuzi kama huu. Na katika hali ya kushangaza, kuna wajinga wengi tu wamekuunga mkono eti!
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
[/
Saa chache ni ngapi?Wacha ujinga wa kuota ndoto za Ali Nacha.Amka utajinyea.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Mkuu umeamka na pombe za juzi mbona unaleta hadithi za bunuasi
 
Kondoo bado hawajafika Iran, mbona Iran alifika Israel kwa dakika tano tu 😄 Au F-35 zinaogopa kwenda kudondoshwa.
 
Ajabu ni kuwa anayehimiza wenzake wapiganie imani yeye analindwa na kufichwa kama dawa za kulevya. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ajabu ni kuwa anayehimiza wenzake wapiganie imani yeye analindwa na kufichwa kama dawa za kulevya. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kulindwa kwa viongozi ni mambo ya kawaida.Netanyahu alikimbizwa kwenye bunker Iran ilipoishambulia Israel.
Viongozi wote huwa wanalindwa extra wakati wa vita, ukiwa hulijui hilo basi una safari ndefu ya kuelewa.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫

Masaa 12 baada ya uzi wako.

Kwani masaa machache kwenye utabiri wako inaweza kuwa miezi?
 
Israel mimi bado sijaielewa kabisa, hivi hili huwa ni taifa au ni kabila. Maana kuna mataifa mengi ni kama yanaongozwa na waisrael au Wayahudi mfano Marekani sehemu nyingi muhimu wameshika wayahudi na hata mataifa makubwa makubwa ya ulaya ni the same. Ni dhahiri ukipigana na Israel ni kama unapigana na mataifa karibu yote ya magharibi maana ndugu zao wapo kule na ndio wenye ushawishi.
Ilo ndo watu wanashindwa kuelewa USA inamsandia Israel wanasaahau USA ndo viongozi wote top ni Waisrael Trump na kibri chake bado anaikubali sana Israel
 
Hivi kwa nini URAN isiache kufadhili aya Makundi Mashariki ya kati pakatulia?
 
Ilitabiriwa silaha za nuclear zitatumika 2024,

Ole wao Nchi tajiri za Africa zenye akili za kimaskini na tegemezi.

Muhimu ni kuwa tayari Kwa wakati unaofaa na wakati usiofaa.

Umebarikiwa sana Islael, mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye juu,

Umebarikiwa sana Tanzania, Nchi ya AGANO la mwisho.

Aamin
Huyo Mungu wa Israel mbona Kashindwa kuzuia makombora ya Iran yasitue kwenye ardhi ya taifa lake Israel?

Au alikuwa kasinzia?
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale
Your content
walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Unaongelea Israel ipi mkuu?

Pale Tel Aviv kuna wahuni wanajiita Israel wakati sisi tupo tumechill tunapambana na wstawala wanaoabudu shetani.
 
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Mkuu tuwekee huu mstari kwenye Biblia uko kitabu kipi, Sura ipi na aya ipi inasema hivi
 
Ilo ndo watu wanashindwa kuelewa USA inamsandia Israel wanasaahau USA ndo viongozi wote top ni Waisrael Trump na kibri chake bado anaikubali sana Israel
Viongozi wote top wa USA walio waisrael ni kina nani?Wataje?
Huelewi hata kwanini USA wanaisaidia Israel.Umefuata mkumbo tu kwenye vigenge vya kahawa.
 
Back
Top Bottom