Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
HIVI NI WEWE TumainiEL tunayekujua humu mwenye hoja na chambuzi makini au ni mtu mwingine katumia usernameyako humu.

Yaani kinachotarajiwa kufanywa na Israel tayari dunia nzima inakijua halafu wewe unasema umetabiri. Haahaaahaaahaaa. Unakuwa kama wale watabiri wanaona kuna kiongozi anaumwa sana na uwezekano wa kupona ni mdogo halafu anase anatabiri mwaka huu kuna kiongozi mkubwa ataondoka.

Au kipindi cha uchaguzi anatabiri kuwa CCM itashindi,au unaona dalili zote za kunyesha mvua halafu unajitokeza unasema unatabiri. Yaani dunia nzima inajuwa kuwa kuna uwezekano wa asilimia 99 Israel kuishambulia Iran.

Na hizi kauli za kusema "NINATABIRI" ndizo zinazotumiwa sana na hawa wahubiri fake kina MASHIMO NA WENZAKE KUPIGA HELA ZA WAJINGA

Wewe toa utabiri wa nani atakuwa rais wa Tz baada ya Mama Samia. Au toa utabiri lini tetemeko la ardhi litatokea. Sio unaona gari la mwendokasi linaelekea Ubungo halafu unasema unatabiri litafika Kariakoo
 
Netanyhulu alisema kwamba Saddam akiondoka ndio itakuwa ushindi mkubwa sana na kuishi kwa vita ...Ila baadae ndio anapata ukinzani mkubwa zaidi.

Lazima ujue watu wana mawazo tofauti kabisa hata uwe na nguvu , utawamaliza ila wataibuka wengine.
 
Wale vijana wanaoinamishwa kule fukwe za Zanzibar ni Wayahudi wale?

Wale mashoga kwenye night club za Dar, ni Wayahudi wale?

Inawezekana sana hata kwenye familia Yako Kuna anaye shikishwa ukuta vile vile.

Tatizo la ushoga sio la kusingle out jamii Fulani, ni tatizo la kidunia na hakuna jamii ambayo haijaguswa, Satan is at work.

Kuhusu Israel, Mungu (YAWEH), ndiye anayesema Hilo ni taifa lake teule. Lililotokana na maagano aliyowaapia Wazee wao Ibrahim na Yakobo (Israel).
Sasa wewe ni nani wa kumpangia Mungu Cha kuteua?
Tofautisha inchi iliyohalalisha Ushoga kama Israeli na wananchi wake mashoga walivyoupokea na inchi zinazopingaa ushogo kama Tanzania na wananchi wake wanaofanya ushoga kwa kificho
Kumbuka huko Israeli ushoga ruksa na upo kila sehemu na kupanga ni ruksa
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Ni kweli.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Uharo mtupu
 
Ni Mungu yupi anayefurahia viumbe vyake viuane bila sababu za msingi?
Kataa akili mgando!!
Kweli Akili mgando huwa zinamsingizia Mungu mambo mengi !
Akili mgando nyingine zinaamini Eti kwenye Siasa Mungu hayupo hata wakiuwana huko au wakiwafanyia ukatili wowote Wapinzani wao Mungu haimuhusu hiyo kitu 😂😂

Kweli Akili mgando zipo nyingi Nchini 😳🤦🏽‍♂️ !
 
Yeye kaambiwa aoe mke mmoja na wasitengane mpaka kifo pia kuzini nje sio tabu ila usioe
Unaona jinsi mafundisho yenu yalivyo jaa fallacies anaye waambia muoe mke mmoja yeye mwenyewe haoi , tena ana sisitiza hakuna kuachana hadi kufa , pia anasema usi zini ilhali haweki msisitizo na makemeo dhahiri , kazi roho mbaya uzembe tu, acha tuoe wa nne na peponi wapo wa kutosha sijui 72 ni wachache sna wapo wa kumtosha kila atakaye ingia jannah
 
Back
Top Bottom