Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,siungi mkono maneno ya ayatollah wakati huohuo nakuona kama taahira kusema sijui israel taifa la Mungu. hivi mnakua na akili timamu?
Unabishana na maandiko matakatifu😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,siungi mkono maneno ya ayatollah wakati huohuo nakuona kama taahira kusema sijui israel taifa la Mungu. hivi mnakua na akili timamu?
HIVI NI WEWE TumainiEL tunayekujua humu mwenye hoja na chambuzi makini au ni mtu mwingine katumia usernameyako humu.Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Hao Waisrael waleo siyo wale wanyakati za Biblia hao ni sinagogi la shetani.Duh aiseee hatari
Siye tupo mkuu,afu wasitusahau na siye huku kutufuta tushachoka na siasa uchwara🥴
Kabisa. Watufute sie huku au waje huku wapiganie huku..?Siye tupo mkuu,afu wasitusahau na siye huku kutufuta tushachoka na siasa uchwara🥴
Tofautisha inchi iliyohalalisha Ushoga kama Israeli na wananchi wake mashoga walivyoupokea na inchi zinazopingaa ushogo kama Tanzania na wananchi wake wanaofanya ushoga kwa kifichoWale vijana wanaoinamishwa kule fukwe za Zanzibar ni Wayahudi wale?
Wale mashoga kwenye night club za Dar, ni Wayahudi wale?
Inawezekana sana hata kwenye familia Yako Kuna anaye shikishwa ukuta vile vile.
Tatizo la ushoga sio la kusingle out jamii Fulani, ni tatizo la kidunia na hakuna jamii ambayo haijaguswa, Satan is at work.
Kuhusu Israel, Mungu (YAWEH), ndiye anayesema Hilo ni taifa lake teule. Lililotokana na maagano aliyowaapia Wazee wao Ibrahim na Yakobo (Israel).
Sasa wewe ni nani wa kumpangia Mungu Cha kuteua?
Kombora moja tu linatutoshaKabisa. Watufute sie huku au waje huku wapiganie huku..?
Ni kweli.Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Mama Abdul hajanichosha,wamenichosha walioibeba CCM miaka yoteHadi wewe dada mwalimu umechoka na mama abdul?
Huyo jamaa kwenye picha ana raha sana kwa sababu hana Stress !!Hii picha inatoa ujumbe mzito sana aisee...
Jamaa Ana shida gani
Netanyahu na mikate ya kutosha kajificha kwenye bomb sheltersJamaa Ana shida gani
Ok ni hatariNetanyahu na mikate ya kutosha kajificha kwenye bomb shelters
Uharo mtupuNiutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Kumbe huyu ndo mleta mada. Nimecheka sana.
Kweli Akili mgando huwa zinamsingizia Mungu mambo mengi !Ni Mungu yupi anayefurahia viumbe vyake viuane bila sababu za msingi?
Kataa akili mgando!!
Unaona jinsi mafundisho yenu yalivyo jaa fallacies anaye waambia muoe mke mmoja yeye mwenyewe haoi , tena ana sisitiza hakuna kuachana hadi kufa , pia anasema usi zini ilhali haweki msisitizo na makemeo dhahiri , kazi roho mbaya uzembe tu, acha tuoe wa nne na peponi wapo wa kutosha sijui 72 ni wachache sna wapo wa kumtosha kila atakaye ingia jannahYeye kaambiwa aoe mke mmoja na wasitengane mpaka kifo pia kuzini nje sio tabu ila usioe