Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hakuna cha vita wala nini
Kuna Gulf of Oman hapo ujue na ndio meli zote za mafuta na gesi zinapita
Dunia nzima inategemea hapo Strait of Hormuz sasa hizo ndoto wenzio wanajua ni ngumu kutokea
Hapo panachungwa kama mboni ya jicho baba
Kuna Gulf of Oman hapo ujue na ndio meli zote za mafuta na gesi zinapita
Dunia nzima inategemea hapo Strait of Hormuz sasa hizo ndoto wenzio wanajua ni ngumu kutokea
Hapo panachungwa kama mboni ya jicho baba