Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Hakuna cha vita wala nini
Kuna Gulf of Oman hapo ujue na ndio meli zote za mafuta na gesi zinapita
Dunia nzima inategemea hapo Strait of Hormuz sasa hizo ndoto wenzio wanajua ni ngumu kutokea
Hapo panachungwa kama mboni ya jicho baba
 
Waajemi hawatishiwi nyau, wamesomq ilmu ahera Hadi wakabobea, ukiwaua ni kama umewawahisha tu kwa wale 72
Roho ina kuuma na kuku kereketa, choyo imekujaa dhidi ya uislamu,
Ila najua yote ni kwa sababu uislamu ni dini ya kweli, na ndio maana Allah katupa ruhusa ya kuoa wanawake wa nne, na tukifa t u unapewa hao 72 sasa wewe unaona wivu tu na roho mbaya
 
Eti natabiri .... Vitu vimejianika ndio unatoka Shimoni Kama kenge wa Pakistan ktuletea Sanaa.
 
Umeongea kidini ya kikristo umewakilisha waimba kwaya wenzako
 

Attachments

  • A67E204F-C54B-4958-A401-F30792E9B5A6.jpeg
    A67E204F-C54B-4958-A401-F30792E9B5A6.jpeg
    973.3 KB · Views: 2
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Kama wangekuwa ni taifa la Mungu wala wasinge hangaika mwaka mzima sasa kupambana kutoka jasho na wana mgambo mia mbili wa palestine wacheni kumuhusisha Mungu na watu wa hovyo Mungu hapendi dhuluma!
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Israel sio taifa Wala kabila
Israeli ni mtu.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Taifa la Mungu sio hili lililopo sasa mkuu,this Israel founded by the Rothschild family through the Balfour Declaration in 1948 is fake.Fungukeni.Mungu hawezi kutumia agents wa Shetani kama akina Rothschild kuanzishwa Taifa lake. Soma Ufunuo 2:9 na 3:9 uone ukweli huu ambao Bwana Yesu mwenyewe aliuweka bayana kabisa.The true identity of Israel has been hijacked by the evil Khazarian Tribe,the Ashkenazi, Zionists or Khazarian Mafia.

Ufunuo wa Yohana 2:9
[9]Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.

Ufunuo wa Yohana 3:9
[9]Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.
 
Back
Top Bottom