Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Natabiri dunia lazima ivute pumzi muda mchache ujao ni kiama Iran

Watu wako brainwashed to the extent mtu hawezi hata kutumia 6 common senses kung'amua mambo. Hizo hadithi za kusadikika ndo zimetufikisha hapa kama miafrica inayoamini Israeli ni watakatifu yaani wazungu waliweza kutuaribu akili beyond repair😆😆😆😆😆

Hivi na ushoga wote huo na maasi yote yanayifanywa na hao waisraeli ni utapeli ulioje bado miafrika inaamini Israeli ni taifa teule????

Na kwanini sisi kama waafrika hatujitambui kiasi kwamba tunaona jamii flani ni bora na sisi tunakazi ya kuwatukuza kiasi cha kuwaabudu hivi.

Ebu waafrica amkeni kutoka kwenye hilo lindi la usingizi hakuna mbinguni wala motoni wala taifa teule, ukishindwa kuishi kwa raha mustarehe hapa duniani, hii dunia itageuka motoni kwako na ukiishi poa hapa ndo mbinguni penyewe ukifa hamna miujiza😁😁😁wa kufufuka katika mwili mpya hasara imekula kwako unayeamini cell zilizooza zinaweza kuja kutoka kwenye udongo na kuungana na mifupa na kutoa mtu🤣🤣🤣.

Hizo stori za kusadikika zilitengenezwa kuishape jamii ili kuleta order na si vinginevyo. Na ndomaana kila jamii za kale zinastori zao. Hata mababu zetu walikuwa na stori zao za kuonya na kutisha watu mixer kutukuza. Ila watu wasio na uelewa wamekariri😂😂😂😂.
 
Endeleeni kuabudu watu - tusinukuu biblia kwa malengo ya kisiasa. Watu wote tuko sawa.Vita kati ya hao mabwana ni vita kama zingine tu, hakuna kipya...wala hakuna supernatural being intervention - misinterpretaion ya bible na kufikiri kuwa wayahudi ni species tofauti ni ujinga wa kiwango cha lami. Agano jipya liliisha-cralify hizi mambo. Ndo maana hao Wayahudi wameishapokea vipigo sio mara moja - na wameshinda sio mara moja pia. Hakuna taifa limeshinda vita milele na kushindwa milele - Israel included..thus mnaongea na kuandika fantansies tu..na mambo ya kihisia.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
walishaenda hadi wakafika kabisa, urusi akawasanua, wakarudi. anza utabiri upya
 
Taifa lile liliwekwa kwa sababu ya maeneo yale ni kitomvi cha mafuta , Visima vyote vya sunni kama saudi vipo chini ya Marekani hata mkataba wa mauziano ya mafuta waliingia dili na dallor ya USA na saudia na washiriki wake kama kuwait wao walipata offer ya kupewa ulinzi ....Waajemi wana historia kubwa na wapo kitambo kuliko waarabu koko hawa saudia .

Target ya jamaa kweny visima vya mafuta ni kwamba Iran nae atapiga vyote muone uchumi utakavyokuwa ...Wale mazayuni wamewekwa pale kimchongo hata waliopo jerusalem ni settlers walijengewa mpaka makazi ili mradi tu wake ...Taifa la Mungu linategemea bajeti kutoka USA.
 
Ayatollah ajawai ogapa kufa ndio ukamuona kaongoza sala jumaaa live kifo chake au cha Nasrallah wala avitafanya taifa teule liwe kwenyekilele cha amani zaid badala yake watajaaa hofu kwanzia viongozi w Israel adi raia wao. Mimi nitaenfekea kuamini kuwa waisrael sio kweli kuwa wamejasliwa akili zaid bali ni watu duni kiakili k8asi awajui samani ya amani na vip watafute amani y kweli binadam tunataka aman tulee watoto tufanyekazi ibada sasa ikiwa akuna amani ujue mambo yote yanapote jehova awa waoga w vifo sasa wadhani wakipeleka moto kwa wenzao ndio wataogopwa awajawai kuwa na akili tofait naiyo toka mwanzo walipofika pale wasingekuwa na mawazo ayo mzozo huu usingekuwa kama sasa matatizo yanatatuliwa kisomi sio kinguvu embu ona maandamano ya juzi ya chadema polisi walikuwa na mabunduki kila aina sasa polisi wawaze dawa ya awa wanaoandamana tuwauwe ili waogope kuandamana sasa iyo ndio akili y taifa teule kumbe ukweli kuzuiya maandamano bila kuuwa ndio njia bola zaid kuyamaliza yake maandamano au zile fujo zao. Mana ukiuwa asila zitawadhidi na kama sio busala mnaweza fanya uwo mzozo uwe mkubwa sana. Kwaiyo aman inaitaki akili wasomi wanaojua kudili na mambo kama ayo. Sasa kule Israel tunaambiwa mashuleni wanafundishwa kuwa wapalestina ni wanyama sio watu. Mtoto kama uyu akikuwa awe polisi anawaona wafilistin wakiandamana na mkononi yy anabunduki unategemeann Israel kumekuwa tofaut wkt mwengine kitu kidogo lkn namna wanadili nacho inapelekea vifo vya wafilistin wakati mwangine adi wao wanakufa kitu kidogo wao bunduki mbele. Lkn tunaambiwa au kuimbiwa ety ndio watu wanaakili zaid akili izo kivitendo mbona atuoni polisi Tanzania wanaelimu nzuli kuliko wao lkn utashangaa eti watuwetu vijana wanaenda kujifunza kule!!! wao ndio walete vijana wapewa mafunzo nasisi sio sisi twende kule. Washafeli tangu apo.
 
Ayatollah ajawai ogapa kufa ndio ukamuona kaongoza sala jumaaa live kifo chake au cha Nasrallah wala avitafanya taifa teule liwe kwenyekilele cha amani zaid badala yake watajaaa hofu kwanzia viongozi w Israel adi raia wao. Mimi nitaenfekea kuamini kuwa waisrael sio kweli kuwa wamejasliwa akili zaid bali ni watu duni kiakili k8asi awajui samani ya amani na vip watafute amani y kweli binadam tunataka aman tulee watoto tufanyekazi ibada sasa ikiwa akuna amani ujue mambo yote yanapote jehova awa waoga w vifo sasa wadhani wakipeleka moto kwa wenzao ndio wataogopwa awajawai kuwa na akili tofait naiyo toka mwanzo walipofika pale wasingekuwa na mawazo ayo mzozo huu usingekuwa kama sasa matatizo yanatatuliwa kisomi sio kinguvu embu ona maandamano ya juzi ya chadema polisi walikuwa na mabunduki kila aina sasa polisi wawaze dawa ya awa wanaoandamana tuwauwe ili waogope kuandamana sasa iyo ndio akili y taifa teule kumbe ukweli kuzuiya maandamano bila kuuwa ndio njia bola zaid kuyamaliza yake maandamano au zile fujo zao. Mana ukiuwa asila zitawadhidi na kama sio busala mnaweza fanya uwo mzozo uwe mkubwa sana. Kwaiyo aman inaitaki akili wasomi wanaojua kudili na mambo kama ayo. Sasa kule Israel tunaambiwa mashuleni wanafundishwa kuwa wapalestina ni wanyama sio watu. Mtoto kama uyu akikuwa awe polisi anawaona wafilistin wakiandamana na mkononi yy anabunduki unategemeann Israel kumekuwa tofaut wkt mwengine kitu kidogo lkn namna wanadili nacho inapelekea vifo vya wafilistin wakati mwangine adi wao wanakufa kitu kidogo wao bunduki mbele. Lkn tunaambiwa au kuimbiwa ety ndio watu wanaakili zaid akili izo kivitendo mbona atuoni polisi Tanzania wanaelimu nzuli kuliko wao lkn utashangaa eti watuwetu vijana wanaenda kujifunza kule!!! wao ndio walete vijana wapewa mafunzo nasisi sio sisi twende kule. Washafeli tangu apo.
ayatolah haogopi kufa kabisa, ila anajificha kwenye mahandaki. hii ndio namna ya kujadili hoja kwa kobaz, ndio akili imeishia hapo.
 
Roho ina kuuma na kuku kereketa, choyo imekujaa dhidi ya uislamu,
Ila najua yote ni kwa sababu uislamu ni dini ya kweli, na ndio maana Allah katupa ruhusa ya kuoa wanawake wa nne, na tukifa t u unapewa hao 72 sasa wewe unaona wivu tu na roho mbaya
Yeye kaambiwa aoe mke mmoja na wasitengane mpaka kifo pia kuzini nje sio tabu ila usioe
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫

Walokole mtuibie kutuuzia maji haya ya Ruvu, walokole mtuibie kutuuzia chumvi, walikile mtuibie kutuuzia mawe ili tujenge ghorofa na pia mtudanganye eti nchi inayoua Watu kwa kusaidiwa na Marekani ni Taifa la Mungu...Mungu yupi??? Acheni uongo wenu bana.
 
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Mlokole muisrael wa tukuyu😄😄
 
Anajificha wapi jana kaswali nje tu pale Tehran kwanini hamkumuua?? AYATOLLAH ndio size yenu
alijificha kwenye kundi la watu, Iran ilitangaza pale baada ya mkutano kwamba sio tu kwamba amepelekwa kujificha sehemu salama, bali yenye usalama wa hali ya juu.ni kwenye mahandaki chini kabisa. kisheria za vita, huwezi kupiga mkutano wa watu vile ni kosa la kivita hilo.
 
Mimi nauliza Muisraeli mtenda mazambi mfano shoga na Mtanzania mcha Mungu yupi ni mbora mbele ya Mungu?
Hapa ndo matumizi ya akili yanafanya ujue dini ni cocaine na bado mtu atashindwa kutumia hata akili ya mema na mabaya(falsafa ya maisha) na bado ataona mzungu shoga ni bora kuliko🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa research isiyo rasmi niliifanya nikabaini ya kuwa wanaojitanabaisha kama wanadini kindakindaki ni wazambi kuliko wasio na dini/wale wenye msimamo wa kati. Watu wafia dini ni watu pia wenye matumizi kidogo sana ya akili hata katika kupambana na changamoto za dunia.Mfano mfia dini badala ya kufanya kazi kwa bidii apate kipato yeye atakesha akifunga(kukaa njaa) na kusali ili afanikiwe katika vitu ambayo ni material thing🤣🤣🤣🤣🤣 nyumba,gari, utajiri. Yaani mpaka maradhi badala ya kusaka tiba rasmi mfia dini anaopt kusali😡😡😡😡na hii ni kwakua dini zinalemaza akili na kuweka mipaka ya kufikiri na kuhoji🤝
 
Wewe unamfananisha mungu na mashoga kweli?mungu anasapoti ndoa za jinsia moja?
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
 
Mimi nauliza Muisraeli mtenda mazambi mfano shoga na Mtanzania mcha Mungu yupi ni mbora mbele ya Mungu?
Wale vijana wanaoinamishwa kule fukwe za Zanzibar ni Wayahudi wale?

Wale mashoga kwenye night club za Dar, ni Wayahudi wale?

Inawezekana sana hata kwenye familia Yako Kuna anaye shikishwa ukuta vile vile.

Tatizo la ushoga sio la kusingle out jamii Fulani, ni tatizo la kidunia na hakuna jamii ambayo haijaguswa, Satan is at work.

Kuhusu Israel, Mungu (YAWEH), ndiye anayesema Hilo ni taifa lake teule. Lililotokana na maagano aliyowaapia Wazee wao Ibrahim na Yakobo (Israel).
Sasa wewe ni nani wa kumpangia Mungu Cha kuteua?
 
Hii ni
Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.

Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.

Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.

Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.

Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.

Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Hii ni kweli!
 
Kwas
Sasa hapo unajichanganya mambo ya imani ya reality hapa mashariki ya kati ni tofauti.

Kwanza hao iran hawaamini katika imani wanayoamini Israel.

Pili kwa nature ya sasa Iran haiwezi kuishinda Israel maana USA anamsaidia bega kwa bega ni kama mama na mtoto

Tatu kitekinolojia iran yupo nyuma sana bado kuweza kumfikia huyo israel.

Kinachowaponza waarabu na wapersia ni hulka za jazba na panic yao hawajui kuwa na subra km simba hadi chakula kikae target.
Kwa sasa Istael inategemea Marekani na Teknolojia. Hivyo hawawezi kumwoba Mungu. Siku zinakuja ambapo Marekani haitakuwa upande wa Israel. Ndipo Israel atabaki mwenyewe na kutokuwa na msaada ila Mungu. Hapo ndipo Mungu atajidhihirisha na dunia yote itatambua kuwa kuna Mungu wa Israel.
 
Back
Top Bottom