Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Hii hoja bavicha ndio mnaipenda sana. Mmeshabiwa jamaa haongezi hata selinde na yeye kasema. Mbona mna ashki kiasi hicho? Anzisheni mada nyingine mpate airtime.
Kwa kweli hata mimi nampinga Magufuli kwa mengi sana, lakini katika hii hoja nasema kweli naiona ni hoja dhaifu sana.

Kwa sababu.

1. Magufuli ameshasema haongezi muda.Wapinzani wake wanataka nini zaidi?

2. Kuongeza muda si jambo dogo, ni suala la mabadiliko ya katiba.

3. Kumhukumu mtu leo kwa kosa ambalo unafikiri atalifanya miaka mitano ijayo ni jambo la kijinga kabisa.

4. Hii hoja inaonesha paranoia kwa wanaoipigia mbinja.

5. Hoja hii ina distort message na kuondoq focus kwenye hoja za maana kqma wizi wa kura uliotokea 2020 na hoja nyingine nyingi za maana.
 
Next term ni zamu ya Uislam, sasa kama huyo anayetaka kubadili katiba ataslimu hapo sawa"Alisikika MNEC mmoja pale Dodoma "
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli...

Mkuu Kama hujamsoma vizuri mleta mada ni MATAGA na ni CCM kindaki ndaki. Huyu ndo aliyeshiriki ktk mission ya kumuondoa Ben Saanane.

Hakuna mpinzani anayeendesha hoja Ukomo ya urais wa Magufuli zaidi ya wanaCCM wenzie ambao tayari wameanza kuota kuhusu 2025 hivyo hawana imani sana naye.
 
Pole pole ndiye atapeleka hoja kwa speaker ndani ya bunge na itaungwa mkono. Wote walioanzishaga hii hoja walikatwa au kuangushwa kimkakati ili hoja ije kwa mkono wa pili.
Dah ila watu.

Sijui mnataka mtu asemeje ndio mjue kamaanisha. Karudia mara kadhaa lakini mnang'ang'ania, sijui shida ni nini?
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli...
Hiyo no 1 ndio uhalisia wao.
 
Next term ni zamu ya Uislam, sasa kama huyo anayetaka kubadili katiba ataslimu hapo sawa"Alisikika MNEC mmoja pale Dodoma "
Umeandika kama utani, lakini kuna point ya muhimu hapo.

Ukiacha dini.

Hata katika CCM kwenyewe kuna watu wanautumbulia macho urais, hawataki kumuachia utamu mtu mmoja miaka yote.
 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba nakurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili...
Unaogopa nini? Sema tu waache wizi wa kura, sababu huyu ni mwepesi sana!
 
Unakubali mtu kuhukumiwa kwa kisa ambalo hajalifanya?

Yani nikwambie wewe unaonekqnq utaiba kesho.

Halafu wewe useme sitaiba.

Halafu tukupige mawe kwa madai kwambabutaiba kesho.

Unakubali?

Kwa nini mnamhukumu mtu kwa makosa qmbayo mnafikiri atafanya 2025, wakati tayari qna.mqkosa aliyoyafqnya qmbayo mnaweza kumhukumu bila kubashiri mambo yatakayotokea mwaka 2025?

Mnafanya ionekane kama vile Magufuli ana uhaba wa makosa aliyoyafanya, na hivyo, mnalazimika kumtungia makosa atakayoyafanya mwaka 2025 na kumhukumu.kwa hayo.

Magufuli ana uhaba wa makosa aliyoyafanya tayari?
labda wanafuata ule msemo

"Ukishang'atwa na nyoka hata jani likikugusa utashtuka"..

Labda kwa sababu wengi walitabiri Uchaguzi wa 2020 kuwa wabunge wa upinzani hawatorudi bungeni na kweli ikatokea

Pengine hawaamini kauli zake tena pale aliposema "Maendeleo hayana Chama" lakini wakati wa kampeni alipita kwenye majimbo kadhaa na kukiri kuwa hakupeleka maendeleo sababu waliuchagua upinzani.

Pengine watu hawamuamini Rais wao kwa maneno bali wanaangalia aina ya mawingu ili kutabiri ni aina gani ya mvua itanyesha

labda ni mawazo yangu ya kipuuzi tu [emoji26][emoji26]
 
Dah ila watu.

Sijui mnataka mtu asemeje ndio mjue kamaanisha. Karudia mara kadhaa lakini mnang'ang'ania, sijui shida ni nini?

Haha sio wa kwanza yeye walisema wengi mzee lkn kilichofwata ni tofauti. Hata JK walipatana na Lowassa akae 5 years then?

Kagame aliahidi mihula miwili Leo?

Nkurunzinza?

Madaraka matamu aisee tuombe uzima tu.

After all wanaohofia hii hoja na kuishadadia ni CCM wenzie.
 
Mkuu Kama hujamsoma vizuri mleta mada ni MATAGA na ni CCM kindaki ndaki. Huyu ndo aliyeshiriki ktk mission ya kumuondoa Ben Saanane.

Hakuna mpinzani anayeendesha hoja Ukomo ya urais wa Magufuli zaidi ya wanaCCM wenzie ambao tayari wameanza kuota kuhusu 2025 hivyo hawana imani sana naye.
Awe mpinzani wa Magufuli ndani au nje ya CCM. Au hata akiwa mchafuzi tu anachanganya watu.

Kitu muhimu ni kwamba, hoja hii ni dhaifu.

Kama anataka kumsema Magufuli, kuna mambo mengine 1,001 ya halali anayoweza kuyataja.
 
Dah ila watu.

Sijui mnataka mtu asemeje ndio mjue kamaanisha. Karudia mara kadhaa lakini mnang'ang'ania, sijui shida ni nini?
Hii kisaikolojia inaitwa paranoia.

Kuna mtu alikuwa anakataa kuwasha taa nyumbani kwake.

Anasema taa zina camera za polisi, akiwasha polisi wanamuona.

Na kashajiaminisha hivyo, humwambii kitu tofauti akakuelewa.
 
Haha sio wa kwanza yeye walisema wengi mzee lkn kilichofwata ni tofauti. Hata JK walipatana na Lowassa akae 5 years then?

Kagame aliahidi mihula miwili Leo?

Nkurunzinza?

Madaraka matamu aisee tuombe uzima tu.

After all wanaohofia hii hoja na kuishadadia ni CCM wenzie.
Ila mimi sidhani hilo la kuongeza muda kama litatukia. Imani yangu hataongeza muda.

Lakini embu tungoje. Tutaona matokeo.
 
Ha haaaa bwana Tumain. Mimi naona hakuna kitakachotokea ukizingatia mhimili ambao unatakiwa kumfunga paka kengele umeshadhibitiwa( kumbuka wabunge wote pale wamepita kwa hisani ya john).
Katiba itabadilishwa soon na wa tz tutabaki kama wafwasi wa kibwetele
Na Bahati mbaya idara nyeti zote nazo zimekuwa fused na chama labda mabeberu wakaze.
Lets prepare for worse while expecting the best.
 
Awe mpinzani wa Magufuli ndani au nje ya CCM. Au hata akiwa mchafuzi tu anachanganya watu.

Kitu muhimu ni kwamba, hoja hii ni dhaifu.

Kama anataka kumsema Magufuli, kuna mambo mengine 1,001 ya halali anayoweza kuyataja.

Hayo mengine kwa wanaCCM si ajenda ndio maana wametumia nguvu kubwa kuua upinzani ili hayo mengine 1,001 yasisikike.

Kama nilivyosema mleta mada na genge analoliwakilisha anajua ni nini anafanya na anachoongea. Naona huko CCM kumetamalaki sana hizi hoja.
 
Hii kisaikolojia inaitwa paranoia.

Kuna mtu alikuwa anakataa kuwasha taa nyumbani kwake.

Anasema taa zina camera za polisi, akiwasha polisi wanamuona.

Na kashajiaminisha hivyo, humwambii kitu tofauti akakuelewa.
Duh hapo kazi kweli kweli. Tuombe uzima.
 
Hayo mengine kwa wanaCCM si ajenda ndio maana wametumia nguvu kubwa kuua upinzani ili hayo mengine 1,001 yasisikike.

Kama nilivyosema mleta mada na genge analoliwakilisha anajua ni nini anafanya na anachoongea. Naona huko CCM kumetamalaki sana hizi hoja.
Wajipange vizuri na hoja zenye mashiko basi.

Sio kulialia kijinga tu hapa.

What's next? Magufuli atazuia mvua za masika?
 
Back
Top Bottom