Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Uganda haina utamaduni wa marais kuheshimu term limits.Unadhani hakuna watu wanaoutumbulia macho URAIS Uganda ama Rwanda !!..
Kutamani ni jambo moja na kutimiza ni jambo jingine. Tamaa ni kama wishful thinking lakini mwisho wa siku mwenye kisu kikali ndiye atakaeweza kula nyama
Personally, Sijali hivyo vyama vitafanyaje lakini kinachoniogopesha ni pale watu wanapokuwa tayari kuvifia ama kuvilinda vyama ama watu kuliko hata nchi yao wenyewe
Tumepotea kama Taifa, Hatudiscuss nchi yetu tena ila kila mtu yupo busy na vyama kama mechi za simba na yanga. Kila mtu anasubiria ushindi lakini ni nani anafikiria kuhusu Future ya hii nchi. HAKUNA
Tanzania tangu aondoke Nyerere marais wote wameheshimu term limits.
Na hata Magufuli amesema hatazidisha muhula wake.
Sasa huu mchecheto wa kusema Magufuli ataongeza muda unatokea wapi?