Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Magufuli alisema uchaguzi huu utakuwa huru na haki, sisi tulisema Magufuli hana tabia ya kuheshimu box la kura. Jitokeze useme waliosema wakati ule walikuwa wanawaza ambayo hajatenda.
Magufuli alisema anataka kumaliza upinzani 2020.

Akasema hataki mtu anayemlipa mshahara (wakuu wa mikoa, wilaya etc) jimboni kwake apite mpinzani.

Ndiyo kiini cha wizi mkubwa uliofanyika mpaka bunge limekosa wapinzani.

Haya mambo aliyasema wazi Magufuli na mtu yeyote ambaye angesema kuhusu wizi wa kura 2020 angeweza kusema hivyo kwa fact, kwa kauli za Magufuli.

Twende kwa fact. Haya mambo ya speculation kila mtu anasema yake.

Sasa una kauli gani ya Magufuli aliposema kwamba atazidisha muda wake wa urais?
 
Sikuwahi kulifikiria hili. Hivi kweli wote - Kessy, Nkamia... hawakurudi Bungeni? Sidhani kuwa katika mazingira ya sasa ilitokea kwa bahati mbaya tu.
Pole pole ndiye atapeleka hoja kwa speaker ndani ya bunge na itaungwa mkono. Wote walioanzishaga hii hoja walikatwa au kuangushwa kimkakati ili hoja ije kwa mkono wa pili.
 
Kabla ya 2020 kuna waliobahatisha namna matokeo yatakavyokwenda. Uchaguzi wa 2020 ulishapita.
Kama unakubali kirahisi hivyo uchaguzi wa 2020 ushapita, hata kama Magufuli akijiongezea muda wa urais 2025 hutafanya kitu.

Utasema tu uchaguzi wa 2025 ushapita.

Na kuanza kulalamika "Magufuli atajiongezea muda tena 2030".

Kelele zote ni bure tu.
 
Anayemwamini mwanasiasa ni mjinga tu. Akina Kagame, Museveni, Nkurunziza (late), wote walisema hivyo hivyo wakati wanaanza muhula wao wa 2. Magufuli siyo Kikwete, siyo Mwinyi, siyo Mkapa... Nchi yetu ina matatizo makubwa kwa kuwa na Magufuli. Wizi wa kura ulikuwepo tangu enzi za Mkapa lakini hatukuwa kuona kura za kwenye mabegi mtaani. Magufuli goes down in our country's history as a thief.
Magufuli alisema anataka kumaliza upinzani 2020.

Akasema hataki mtu anayemlipa mshahara (wakuu wa mikoa, wilaya etc) jimboni kwake apite mpinzani.

Ndiyo kiini cha wizi mkubwa uliofanyika mpaka bunge limekosa wapinzani.

Haya mambo aliyasema wazi Magufuli na mtu yeyote ambaye angesema kuhusu wizi wa kura 2020 angeweza kusema hivyo kwa fact, kwa kauli za Magufuli.

Twende kwa fact. Haya mambo ya speculation kila mtu anasema yake.

Sasa una kauli gani ya Magufuli aliposema kwamba atazidisha muda wake wa urais?
 
Ukweli mchungu, madaraka matamu.

Kwa trend hii ya matukio kwa miaka 5 Magufuli atafuta ukomo wa uraisi na kujitwalia mamlaka.
 
Anayemwamini mwanasiasa ni mjinga tu. Akina Kagame, Museveni, Nkurunziza (late), wote walisema hivyo hivyo wakati wanaanza muhula wao wa 2. Magufuli siyo Kikwete, siyo Mwinyi, siyo Mkapa... Nchi yetu ina matatizo makubwa kwa kuwa na Magufuli. Wizi wa kura ulikuwepo tangu enzi za Mkapa lakini hatukuwa kuona kura za kwenye mabegi mtaani. Magufuli goes down in our country's history as a thief.
Sitaki kuamini, nataka kujua. Ndiyo maana nadai facts badala ya speculation.

Wanaosema Magufuli ataongeza muda wanaenda kwa imani, hawana facts.

Lete facts tujadili facts badala ya imani.
 
Linaweza likaondoka na uhai wa mzee mmoja mkubwa sana hasiyependwa na wengi hapa duniani

We have to come together as a nation and unite around our shared goal: defeating this virus called ccm
 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba nakurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Wewe hakuna kinachoweza kutokea. Akiamua tu watu wataandamana kuunga mkono juhudi. Nadhani wewe hujawajua watz vizuri. By the way mbona unaibuka na mada katikati ya mada ? Tuliza boli kwanza
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja qmbayo haina uhalali ya kuhusu makisa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umqkini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badalq ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota wapunzabi wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru yq uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Una list minamba mingi halafu yote inaongelea point moja.
What a waste of time.
 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba nakurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Porojo
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja qmbayo haina uhalali ya kuhusu makisa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umqkini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badalq ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota wapunzabi wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru yq uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Museveni.
Kagame.

Both are JPM's role models. Walisema hivyo hivyo. The rest is history.

Tusibishane. Tusubiri. 2025 siyo mbali.
 
Una list minamba mingi halafu yote inaongelea point moja.
What a waste of time.
Waste zaidi ni wewe unayenijibu.

Yani umenipenda mpaka ukashindwa kujizuis kudharau kunijibu.

Wewe unajua hata kuhesabu, licha ya kuchambua pointi moja na nyingine?
 
Yeye si alishakataa, au atalazimishwa na akina kessy na nkamia....sasa akilazimishwa lawama inabidi zipelekwe kwa wale waliomlazimisha.
 
Museveni.
Kagame.

Both are JPM's role models. Walisema hivyo hivyo. The rest is history.

Tusibishane. Tusubiri. 2025 siyo mbali.
Hatuwezi kubishana bila fact.

Tutazozana tu.

2025 ikifika, Magufuli akastaafu bila kuongeza muda, utasema nini?

Utaomba msamaha kwa kumzushia habari za uongo?

Au utaendeleza uzushi?
 
Tatizo la Watanzania wengi kwa sasa, ni ukweli kwamba wamepoteza au hawana uwezo wa kujadili hoja kimantiki.

Wamechagua upande mmoja, na katika mjadala wowote wanatetea timu yao kishabiki zaidi. Bila kujali principle wala fact.

Ndiyo maana ni vigumu sana kumpata mtu ambaye mara nyingine anamsema Magufuli vibaya, na mara nyingine anamtetea. Kama ninavyofanya mimi leo, kumtetea Magufuli based on principle ingawa mara nyingi namsema vibaya.

Hii ni kwa sababu wapinzani wa Magufuli, wengi wao wako tayari kuunga mkono uzushi wowote unaomtuhumu Magufuli vibaya.

Na watetezi wa Magufuli, wengi wao wako tayari kumtetea katika uozo wowote.

Jiulize, wewe unayemtuhumu Magufuli leo, lini uliwahi kumtetea? Je, hana cha kumtetea?

Na wewe unayemtetea Magufuli leo, lini uliwahi kumtuhumu? Je, hana cha kumtuhumu?

Watu wachache tunaoangalia mantiki ya hoja tu tunaweza kumsema vibaya Magufuli anapokosea, na kumtetea anapoonewa.

Kumhukumu mtu yeyote, kwa kosa analotarajiwa kufanya mwaka 2025, ni kitu kibaya sana.

Hiki kitu kinaitwa pre-crime

Tukiendelea na mawazo haya, tunaweza kusema tuwafunge watoto wanaozaliwa Manzese Kwa Mfuga Mbwa, kwa sababu watoto hawa, wakikua wakubwa ni lazima watakuwa majambazi tu.

Pre-crime wiki

Pre-crime (or precrime) is a term coined by science fiction author Philip K. Dick. It is increasingly used in academic literature to describe and criticise the tendency in criminal justice systems to focus on crimes not yet committed. Pre-crime intervenes to punish, disrupt, incapacitate or restrict those deemed to embody future crime threats. The term pre-crime embodies a temporal paradox, suggesting both that a crime has not occurred and that the crime that has not occurred is a foregone conclusion.[1]
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja qmbayo haina uhalali ya kuhusu makisa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umqkini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badalq ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota wapunzabi wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru yq uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Ulimsikia yule aliyesema "Atake asitake, tutamlazimisha tu" na akaungwa mkono na speaker Ndugai, akisema "shikilia hapo hapo, tukirudi hapa hoja iletwe, atake asitake" Sasa wamerudi, tena wako wenyewe bila "wapinga maendeleo", unategemea nini?
 
labda wanafuata ule msemo

"Ukishang'atwa na nyoka hata jani likikugusa utashtuka"..

Labda kwa sababu wengi walitabiri Uchaguzi wa 2020 kuwa wabunge wa upinzani hawatorudi bungeni na kweli ikatokea

Pengine hawaamini kauli zake tena pale aliposema "Maendeleo hayana Chama" lakini wakati wa kampeni alipita kwenye majimbo kadhaa na kukiri kuwa hakupeleka maendeleo sababu waliuchagua upinzani.

Pengine watu hawamuamini Rais wao kwa maneno bali wanaangalia aina ya mawingu ili kutabiri ni aina gani ya mvua itanyesha

labda ni mawazo yangu ya kipuuzi tu [emoji26][emoji26]
Naomba ukasome sababu nilizitowa juu ya anguko la chadema.
 
Unasali ili mabadiliko mazuri kwa taifa lako yasitokee!!!! Kweli viazi mko wengi, mabadiliko ya katiba yanaanzia bungeni acheni bunge lifanye majukumu yake ya kikatiba. Mabadiliko ya kimanufaa tunayakaribisha, wenye hofu mjinyonge tuuuuuu
Ewala mkuu hayo ni yako mm sina lakusema
 
Back
Top Bottom