Contextual speculation siyo uzushi. That's one.
Two, akiondoka 2025 ndiyo utakuwa mwisho wa speculation.
Three, huku kwetu hatuombanagi msamaha kwenye haya mambo ya siasa.... siyo utamaduni wetu, inajulikana. Tutatafuta tu ku justify kwa nini tuli speculate tulichokuwa tuna speculate - baada ya hapo kila mtu na hamsini zake, tunatafuta topic nyingine ya ku speculate!
Kwa nini uhitaji kufanya speculation ya aina yoyote kuhusu wizi wa 2025 kwa mtu ambaye kuna ushahidi kuwa kafanya wizi tayari 2020?
This is a waste of time and resources.
Magufuli na utawala wake hawana upungufu wa makosa. Ana makosa kemkem ambayo kashayafanya.
Mnaposhikia bango makosa ambayo mnafikiri atayafanya 2025, mnachofanya ni ku ya minimize makosa aliyoyafanya 2020 kwamba haya yameshapita.
Na kitakachotokea ni kwamba, hata hiyo 2025 akifanya mnachohofia, kwa utamaduni huu wa kuangalia uchaguzi unaokuja na kusahau yaliyopita, mtakubali kwa falsafa za "hewala hewala" na kuanza kubashiri tena "Magufuli atajiongezea muda 2030".
Hizi speculations zisizo na fact wala mkakati zinaondoa focus kwenye mambo muhimu kama kupanga mkakati wa kupata tume huru ya uchaguzi, kudhibiti wizi wa kura, kutafuta katiba mpya, kujiwekea mkakati wa kimataifa etc.
Mimi huwa napenda kufanya kitu kinaitwa "immanent critique".
Yani, katika uchambuzi na mijadala, najiuliza, huyu mtu ninayepingana naye, suppose he is right. Suppose I am wrong, then what?
Suppose the people who say Magufuli will extend his term are 100% right, and I am wrong.
Then what?
Kuna mkakati gani wa kumzuia?
Ukiliangalia hili kwa miwani hii, utaona kwamba speculation hii haisaidii kitu.
Kitakachoweza kusaidia ni kuweka misingi ya kuhakikisha kwamba, rais yeyote, si Magufuli tu, hawezi kujiongezea muda.
Katiba mpya iliyo madhubuti zaidi, kuzidisha elimu ya uraia, kuweka mkakati wa kupata tume huru ya uchaguzi, kudhibiti madaraka ya rais, kuweka sheria na cha muhimu zaidi utamaduni wa uwazi zaidi etc etc.
Hizi speculations tu hazisaidii kitu.
Kwa sababu.
Kuna possibilities mbili hapa.
1. Ni kweli, Magufuli anataka kujiingezea muda. Lakini speculatiins bila mkakati wa kumzuia haisaidii kitu.
2. Hizi ni empty speculations tu. Magufuli hana mpango wa kuonheza muda. Hizi soeculatiins ni a waste if time and energy. Watu wangeweza kujadili wizi wa kura 2020, kuweka mikakati ya kupinga matokeo ya ubunge, kujioanga wasiibiwe tena kura, kudai tume huru, katiba mpaya etc.