"If I wasn't on some shit, I'm getting on it"
Jadakiss - "Kiss of Death".
Mstari huu unaelezea hisia za Jadakiss, kama mtu aliyekuwa anasingiziwa sana mambo ambayo hakuyafanya.
Mwishowe akasema, kama sikufanya, sasa nafanya. Mnachonga sana.
Yani, kaona anasingiziwa sana, mpaka akasema, bora nifanye tu kile ninachosingiziwa. Kwa maana hata nisipofanya, watu washaamini kwamba nafanya.
Sasa, msimfanye Magufuli aseme kama Jadakiss.
Kwamba "If I wasn't on some shit, I'm getting on it".
Meaning if he was not going to extend his term, now, because of all this speculations and doubts on his intentions, he is going to extend.