Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba nakurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Unasali ili mabadiliko mazuri kwa taifa lako yasitokee!!!! Kweli viazi mko wengi, mabadiliko ya katiba yanaanzia bungeni acheni bunge lifanye majukumu yake ya kikatiba. Mabadiliko ya kimanufaa tunayakaribisha, wenye hofu mjinyonge tuuuuuu
 
Umeandika kama utani, lakini kuna point ya muhimu hapo.

Ukiacha dini.

Hata katika CCM kwenyewe kuna watu wanautumbulia macho urais, hawataki kumuachia utamu mtu mmoja miaka yote.
Unadhani hakuna watu wanaoutumbulia macho URAIS Uganda ama Rwanda !!..

Kutamani ni jambo moja na kutimiza ni jambo jingine. Tamaa ni kama wishful thinking lakini mwisho wa siku mwenye kisu kikali ndiye atakaeweza kula nyama

Personally, Sijali hivyo vyama vitafanyaje lakini kinachoniogopesha ni pale watu wanapokuwa tayari kuvifia ama kuvilinda vyama ama watu kuliko hata nchi yao wenyewe

Tumepotea kama Taifa, Hatudiscuss nchi yetu tena ila kila mtu yupo busy na vyama kama mechi za simba na yanga. Kila mtu anasubiria ushindi lakini ni nani anafikiria kuhusu Future ya hii nchi. HAKUNA
 
"If I wasn't on some shit, I'm getting on it"

Jadakiss - "Kiss of Death".


Mstari huu unaelezea hisia za Jadakiss, kama mtu aliyekuwa anasingiziwa sana mambo ambayo hakuyafanya.

Mwishowe akasema, kama sikufanya, sasa nafanya. Mnachonga sana.

Yani, kaona anasingiziwa sana, mpaka akasema, bora nifanye tu kile ninachosingiziwa. Kwa maana hata nisipofanya, watu washaamini kwamba nafanya.

Sasa, msimfanye Magufuli aseme kama Jadakiss.

Kwamba "If I wasn't on some shit, I'm getting on it".

Meaning if he was not going to extend his term, now, because of all this speculations and doubts on his intentions, he is going to extend.


 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba nakurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Tuonyeshe ushahidi; usikalie 'bla bla' zisizoeleweka kama kawaida yako.
Huo uchafuzi bado haukushawishi kuona kwamba hakuna ndani ya taifa hili anayeweza kuzuia lolote alilonuia kulifanya anayelimiliki?

Hivi nyinyi watu wengine mnataka mpaka muone nini ndio mtambue kwamba nyinyi nyote ni mateka? Mateka ana nini la kufanya juu ya aliyemteka na kumdhibiti?
 
Eeenh, na wewe mama D unaamini yaliyoandikwa hapo?

Ni kipi kitakachomzuia huyo anayetetewa kuendelea madarakani...kwa vile tu kisha sema kuwa hataongeza muhula mwingine? Alikuwekea nadhiri kukuhakikishia kuwa akighairi maneno hayo utamfanya nini?

Uamini tu kwa kuwa kasema..., amesema uongo mangapi? Kuna uovu zaidi ya kukanyaga katiba ya nchi na sheria zilizopo? Mbona wewe na huyo unayemshangilia hamkujitokeza kushangilia alipofanya uovu huo?

Hayo ya kuwadharau wapinzani na waTanzania kwa ujumla wao yaliyoandikwa katika bandiko unalolishangilia ni sehemu ya utetezi mtakaouanzisha mara tu atakapojiongezea muda mara kadhaa kama anavyofanya rafiki yake M7.
Ni bora hata kumwamini M7 kuliko huyu mnayempigia upatu hapa.
 
bawacha bana[emoji23][emoji23][emoji23].

kutoka niyeye mpaka rais wa kike mwanamke mwakani.
Mkuu haujaelewaa hoja yake? Anamaanisha kwamba Raisi atakuwa SAMIA (mwanamke),baada ya Mungu kutovumilia ushenzi wa huyu aliepo Sasa( Sasa sijui akiongea nae🤔).Bawacha hawana hoja ya msingi, ukute yeye ndo atatangulia 😂😂
 
Unakubali mtu kuhukumiwa kwa kisa ambalo hajalifanya?

Yani nikwambie wewe unaonekqnq utaiba kesho.

Halafu wewe useme sitaiba.

Halafu tukupige mawe kwa madai kwambabutaiba kesho.

Unakubali?

Kwa nini mnamhukumu mtu kwa makosa qmbayo mnafikiri atafanya 2025, wakati tayari qna.mqkosa aliyoyafqnya qmbayo mnaweza kumhukumu bila kubashiri mambo yatakayotokea mwaka 2025?

Mnafanya ionekane kama vile Magufuli ana uhaba wa makosa aliyoyafanya, na hivyo, mnalazimika kumtungia makosa atakayoyafanya mwaka 2025 na kumhukumu.kwa hayo.

Magufuli ana uhaba wa makosa aliyoyafanya tayari?
Mtu asiyeona madhara ya kukanyaga katiba ya nchi na sheria zake, bado anaaminiwa kufanya anayosema mdomoni tu?
Mtu asiyetambua haki na uhuru wa watu bado anatetewa kwa maneno ya ulaghai tu anayoyatembeza mitaani?

Kuna kipi kinachofanya wapinzani, wanaoonewa kwa kila hatua wawe ndio watu wa kutoaminiwa kwa vilio vinavyosikika kila sehemu?

Hata kama si mtetezi wa huyo mtesi wa watu unaowalaumu, kuna maswali ya kujiuliza utetezi huu hasa unatokana na nini!
 
Back
Top Bottom