Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Mkuu pitia tena comment uliyoihifadhi.Nahifadhi hii comment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pitia tena comment uliyoihifadhi.Nahifadhi hii comment.
Aiseee
[emoji38][emoji38][emoji38]Mpaka unakuja na mambo kama haya naona sasa hoja zimekuishia.Wewe kwanza jifunze spelling za "parse" na "derectly" kabla ya kubishana na mimi.
Vinginevyo nitaona una dyslexia au elimu ya ngumbaru.
Habari nzima ya "elimu bure" wakati watu wanalalamikia michango ni ujinga.
Huwezi mlinganisha Kanumba na Hayati Rais Magufuli. Hayati Rais Magufuli Reputation yake ni beyond the Borders.Kanumba mwwnyewe watu walimlilia na wengine wakawa wanazimia
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hoja ukiiona utaijua hii hoja?[emoji38][emoji38][emoji38]Mpaka unakuja na mambo kama haya naona sasa hoja zimekuishia.
Basi bwana ngoja nimalizane na wewe. Duh! Hiyo ni kasheshe. Sawa nakubaliana na wewe kuwa mimi nina dyslexia. Umefurahi sio?
Itumike sasaNahifadhi hii comment.
Tumeona mkuuNgoja tuone
Wewe ni mjinga sana wa akili, yaani wewe unitukane mimi alafu mimi nimezee tu? Kisa ni nini? Nimepata exposure? Hiyo sahau. Mimi kwa taarifa yako pia nimekulia uswahilini, tena uswecken ile mbaya kuliko hata wewe pengine. Kwenye Ghetto langu nilikuwa naishi na majambazi na wahuni wa mjini pia. Kwa hiyo tusizenguane.Ungekua na Exposure usingeandika maneno machafu na yakishenzi namna hii.
We ni mjukuu wa shekh Yahya?
Nitarudi tena. Sijakusahau.Na wewe nikuulize hivi unajua maana ya bure?
Kwenye hiki kinachoitwa elimu bure mimi napenda niite ni elimu bila ada, mimi nimetoka kusomesha awamu ya nne, na ninasomesha awamu hii ya tano
Michango bado ipo mashuleni hasa shule za kata, vifaa vya kujifunzia daftari, vitabu nk kuna sare (shirt, suruali/sketi, t-shirt na viatu)
Tena kuna shule wana sare za aina mbili bila kusahau track suit na raba kwaajili ya michezo, naomba nikuambie mkuu bila laki 1 na kitu kwa mtoto mmoja bado huwezi kumpeleka shule
Kwa mTanzania mnyonge aliekuwa anatetewa achana na hawa vijana machinga hapa namuongelea mkulima kabisa (zaidi ya 65% waTanzania ni wakulima)
Ambae kalima mahindi na mpunga(sitaji mazao ya biashara kama pamba nk kwa sababu yalishajifia)
Anaetegemea kuuza mazao ndo apeleke mtoto shule kwa bei hizi mbovu bado anategemea na yeye ale humo humo
Wewe ni mjinga sana wa akili, yaani wewe unitukane mimi alafu mimi nimezee tu? Kisa ni nini? Nimepata exposure? Hiyo sahau. Mimi kwa taarifa yako pia nimekulia uswahilini, tena uswecken ile mbaya kuliko hata wewe pengine. Kwenye Ghetto langu nilikuwa naishi na majambazi na wahuni wa mjini pia. Kwa hiyo tusizenguane.
Kwa hiyo ukiniletea za kuleta na mimi nitakupiga tu na wala siangalii hasara. Kama uswahili wote tunaujua. Kiswahili mbali na kiingeraza na kijerumanu ni lugha ninayo ipenda, kuifurahia na kujivunua pia. Tukiheshimiana nami nitakuheshimu.
Changia hoja na kama huna basi kaa kimya na sio kutukana watu usio wajua.
Sijasema chochote kibaya kwako. Nimekushauri tu kuwa nenda shule elimu bado ni bure, kwani kwa jinsi ulivyo toa argument yako niliona kuwa uko vizuri, lakini hujakomaa kiakili na kimawazo, kwa hiyo bado unahitaji kupanua ubungo wako. Mimi nakupa ushauri wa bure kama kaka au baba yako, wewe unanitukana. Siwezi vumilia kitu kama hicho.
Arschloch!Imbecile
Cha kumsaidia tu huyo ngumbaru hizo shule za sekondari michango inarange kwenye laki tano mpaka saba ndiyo mtoto aweze kwenda shule.Wewe kwanza jifunze spelling za "parse" na "derectly" kabla ya kubishana na mimi.
Vinginevyo nitaona una dyslexia au elimu ya ngumbaru.
Habari nzima ya "elimu bure" wakati watu wanalalamikia michango ni ujinga.
AiseeMagufuri hatomaliza huu muhula akiwa madarakani!
Mark my words
Umeziona blah blah zenyewe ?Weka hoja zenye mashiko wacha blah blah!
Bora umwambie wewe.Cha kumsaidia tu huyo ngumbaru hizo shule za sekondari michango inarange kwenye laki tano mpaka saba ndiyo mtoto aweze kwenda shule.
Kuna shule wazazi wanapeleka madawati yao wenyewe ili watoto waweze kusoma au kuchangia pesa shule zitengeneze madawati na michango ya kujenga madarasa kila mwaka
Baba na mama yako Kama bado wapo hai wanaumwa Nini?Huyu 1954 atakuwa anashindia tramadol tu huko aliko maana atakuwa na maumivu hadi ya kongosho