Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Hawaumwi.Baba na mama yako Kama bado wapo hai wanaumwa Nini?
Pole sana kwa msiba mkuu.
Mama ameanza kuthibitisha kile mlichoficha kwa miaka 5. Soon tutajua ubadhirifu uliofanyika kwa miaka 5 ambao nchi haijawahi kushuhudia. Sijui mtaficha wapi sura zenu