Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

We ni mjukuu wa shekh Yahya?
Hakuna Cha shekhe yahaya watu wapo ktika system wanajua kinachojiri

Hata hivyo kwa nchi hii ya Tanzania ni ngumu mnooo kumuongezea raisi muda wa kutawala Kuna kanuni zimewekwa mahususi na hazipaswi kuvunjwa kwaajili ya usalama wa nchi wewe unadhani waliofanya nchi hii awamu hii kuwe na raisi mkristo na awamu nyingine kuwe na Raisi muislam ni wajinga !? Kuna kile ambacho walikiona so wanajaribu kufanya power balance ili nchi isije kuingia ktk machafuko ya kidini pia Tanzania ni nchi iliyo

kimkakati Usafi wa siasa zake unachangia nafuu ya Utulivu wa nchi jirani na pia inachangia ustawi wa uchumi wa nchi hizo umeshawahi kujiuliza endapo Tanzania ikiingia ktk machafuko Nchi kama Malawi na zote ambazo hazina bandari zitakuwa na Hali ipi kiuchumi !?? So hata hao mabeberu wanategemea Sana hali ya usalama wa Tanzania ili waweze kufanya mambo Yao kwa wepesi kwa nchi zinazo izunguka Tanzania so endapo ikitokea Tanzania ikampata kiongozi ambaye anaweza kuvuruga amani ya taifa hili huyo kiongozi hawezi kuachwa wala kubaki salama Trust me na hicho ndio kilicho mkuta huyo jamaa yenu Akome Sana huko alipo maana alidhani hili taifa ni la baba yake [emoji16]
 
Hakuna Cha shekhe yahaya watu wapo ktika system wanajua kinachojiri

Kwahiyo kumbe hii ilishaplaniwa jamaa azimwe kutoka uso wa dunia? Kwa sababu ni mzuri sana au mbaya sana?
 
Mbaya ndio maana waona kaondoka na Nchi ipo shwari angekuwa ni mzuri kingenuka .. Jamaa alikuwa anakwenda kuvuruga amani ya Nchi kwa kiasi kikubwa
smiley-emoticon-face-clip-art-confused-face-cartoon-591cd130174e618fb4160592fa6591ea.jpg
 
Okey
Katiba itabadilishwa na kutakua shwari Kama ilivyokua ktk uchaguzi huu. Siku Magu anaapishwa nchi nzima ilikua busy na mapokezi ya bi Zari na Diamond.

Kwa aina ya raia wa nchi hii Magu atatawala hadi mola wake atakapomtwaa.
Sawa tunasubiri
 
Hakuna Cha shekhe yahaya watu wapo ktika system wanajua kinachojiri

Hata hivyo kwa nchi hii ya Tanzania ni ngumu mnooo kumuongezea raisi muda wa kutawala Kuna kanuni zimewekwa mahususi na hazipaswi kuvunjwa kwaajili ya usalama wa nchi wewe unadhani waliofanya nchi hii awamu hii kuwe na raisi mkristo na awamu nyingine kuwe na Raisi muislam ni wajinga !? Kuna kile ambacho walikiona so wanajaribu kufanya power balance ili nchi isije kuingia ktk machafuko ya kidini pia Tanzania ni nchi iliyo

kimkakati Usafi wa siasa zake unachangia nafuu ya Utulivu wa nchi jirani na pia inachangia ustawi wa uchumi wa nchi hizo umeshawahi kujiuliza endapo Tanzania ikiingia ktk machafuko Nchi kama Malawi na zote ambazo hazina bandari zitakuwa na Hali ipi kiuchumi !?? So hata hao mabeberu wanategemea Sana hali ya usalama wa Tanzania ili waweze kufanya mambo Yao kwa wepesi kwa nchi zinazo izunguka Tanzania so endapo ikitokea Tanzania ikampata kiongozi ambaye anaweza kuvuruga amani ya taifa hili huyo kiongozi hawezi kuachwa wala kubaki salama Trust me na hicho ndio kilicho mkuta huyo jamaa yenu Akome Sana huko alipo maana alidhani hili taifa ni la baba yake [emoji16]
Wanajua kutuchezea akili. Yaani ghafla kila mtu ana imani na Mama, sio CCM, Chadema, ACT au NCCR wote shwari.
 
Hakuna Cha shekhe yahaya watu wapo ktika system wanajua kinachojiri

Hata hivyo kwa nchi hii ya Tanzania ni ngumu mnooo kumuongezea raisi muda wa kutawala Kuna kanuni zimewekwa mahususi na hazipaswi kuvunjwa kwaajili ya usalama wa nchi wewe unadhani waliofanya nchi hii awamu hii kuwe na raisi mkristo na awamu nyingine kuwe na Raisi muislam ni wajinga !? Kuna kile ambacho walikiona so wanajaribu kufanya power balance ili nchi isije kuingia ktk machafuko ya kidini pia Tanzania ni nchi iliyo

kimkakati Usafi wa siasa zake unachangia nafuu ya Utulivu wa nchi jirani na pia inachangia ustawi wa uchumi wa nchi hizo umeshawahi kujiuliza endapo Tanzania ikiingia ktk machafuko Nchi kama Malawi na zote ambazo hazina bandari zitakuwa na Hali ipi kiuchumi !?? So hata hao mabeberu wanategemea Sana hali ya usalama wa Tanzania ili waweze kufanya mambo Yao kwa wepesi kwa nchi zinazo izunguka Tanzania so endapo ikitokea Tanzania ikampata kiongozi ambaye anaweza kuvuruga amani ya taifa hili huyo kiongozi hawezi kuachwa wala kubaki salama Trust me na hicho ndio kilicho mkuta huyo jamaa yenu Akome Sana huko alipo maana alidhani hili taifa ni la baba yake [emoji16]
Oyaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hasira mingi mnooo.
.... Alale anapostahili jiwe.
Naona walokuwa wanalindwa kwa viburi wametepetaaaaaaa... Mungu ni wetu sote
 
Nafkiri Mama Samia anaweza kutuvusha vema katika suala hili la kubadili katiba, sio kwa kuondoa ukomo huko hapana! Tena ningeshauri tu kwamba ukomo wa Rais kutawala iwe muhula mmoja tu wa miaka 5, na usizid hapo! Hii itasaidia kuleta mabadiliko ya kimfumo haraka kuliko ilivyo sasa!
Uchaguzi wa kumshindanisha rais aliyeko madarakani na wagombea wa vyama vingine wasio na dolla haua uhalali wala haki hata chembe!
tupate katiba mpya ambayo watendaji wote wa tume na mihimili ya dola waateuliwa na ama rais anayemaliza muda wake au kiwepo chomo maalum cha uteuzi mfao tume ya kijaji.
Mh. rais Samia aweke pia mazigira rafiki ya kuwezesha akia mama kushika nafasi za urais, umakamu, Upm mpaka uwaziri na makatibu wakuu! Mfano kuwa rais wa Tz mwaamke isiwe kama ahati mbaya ali liwe ni takwa la kikatiba!
Katiba itamke kuwa rais wa Jmt akiwa mwanaume, makamu wake awe mwanamke, Pia rais aliyemaliza muhula akiwa mwaaume, rais ajaye awe mwaamke! Vivyo kwenye mawizara nako waziri kamili akiwa mwaaume aibu wake awe mwanamke, Katibu mkuu wa wizara akiwa mwanaume msaodizi wake awe mwanamke!
Kweye majimo ya uchaguzi a kata ako hivyohivyo, kama mkoa ua majimbo 8, majimbo 4 yashindaishe waawake tu majimbo 4 megine 4 me watupu, viti maalum viwe kwa walemavu tu na waingizwe kwa mizania ya jinsia!
Serikali iwe mseto wa viongozi wa kutoka vyama vyote ili kuimarisha umoja na mshikamano!
Itapendeza pia kama katiba itaweka ukomo wa chama kutawala kwama isizidi miaka 10 mfululizo, hali itapuguza msuguano na vinyongo tofauti na ilivyo sasa!
Mungu Ibariki Tazaia, Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan!
 
Oyaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hasira mingi mnooo.
.... Alale anapostahili jiwe.
Naona walokuwa wanalindwa kwa viburi wametepetaaaaaaa... Mungu ni wetu sote
Wameanza kuchanganyikiwa hawaijui hatima Yao [emoji16][emoji16]
 
Wanajua kutuchezea akili. Yaani ghafla kila mtu ana imani na Mama, sio CCM, Chadema, ACT au NCCR wote shwari.
Game changer hao --- Wanajua sisi watanzania tunachokitaka ni uhakika wa Amani yetu kuendelea kudumu na siasa ambazo zitaleta mshikamano pamoja na Haki na usawa / Haki ya uchumi imara Elimu Bora . Haki ya Uhuru wa habari .Haki ya Ajira kwa vijana .Haki ya kulinda sheria za Haki za Binaadamu .etc endapo ccm ikisimamia hiyo misingi sisi Wananchi mbona hatuna shida wala Nini yaani
 
Game changer hao --- Wanajua sisi watanzania tunachokitaka ni uhakika wa Amani yetu kuendelea kudumu na siasa ambazo zitaleta mshikamano pamoja na Haki na usawa / Haki ya uchumi imara Elimu Bora . Haki ya Uhuru wa habari .Haki ya Ajira kwa vijana .Haki ya kulinda sheria za Haki za Binaadamu .etc endapo ccm ikisimamia hiyo misingi sisi Wananchi mbona hatuna shida wala Nini yaani
Bila kusahau ruzuku vyama vya upinzani.
 
Mmemlaumu marehemu kwamba atajiongezea muda wa urais mwaka 2025.

Wakati amefariki 2021.

Ndiyo maana nikasema kumlaumu mtu leo kwa makosa atakayofanya mwaka 2025 ni ujinga.

Halafu niliwahi kuhoji, hiyo 2025 mnajuaje atafika?
Baada ya uhuni uliofanyika mwaka juzi (uchaguzi serikali za mitaa) na mwaka jana, hata mtoto wa std two alitambua mojawapo ya malengo ilikuwa kubadilisha katiba (bila kelele za 'wanoko') ili kumuwezesha kiongozi wa malaika wa vifo atawale jumla.....
 
Baada ya uhuni uliofanyika mwaka juzi (uchaguzi serikali za mitaa) na mwaka jana, hata mtoto wa std two alitambua mojawapo ya malengo ilikuwa kubadilisha katiba (bila kelele za 'wanoko') ili kumuwezesha kiongozi wa malaika wa vifo atawale jumla.....
Kumlaumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya ni ujinga.

Hususan kama hujamuwajibisha kwa makosa ambayo kashayafanya.

Yani unajifanya masikini wa makosa, unakopa makosa ambayo hayajatokea. Kwa kulipia riba kubwa.

Wakati wewe ni bilionea wa makosa, una makosa mengi yashatokea unayo benki.

Ujinga mtupu.

Matokeo yake mtu kajifia hata 2021 hajamaliza mmeonekana wapiga ramli za uchuro tu.

Unaweza kupewa kesi ya kumuua mtu hivihivi.

Kwamba umemuua kwa sababu hukutaka aongeze muda wa urais 2025, ulikuwa unamsema sana kwa hilo.

Kumbe mtu mwenyewe tulijua wengi afya yake mgogoro na kuna nafasi kubwa tu anavyokataa kuvaa barakoa hawezi kufika hiyo 2025!

Mmetumia muda mwingi sana na energy nyingi sana kupinga hoja ambayo imekuwa ujinga mtupu.

Mara nyingine mkiambiwa hii hoja haina uzito wowote na watu wenye akili kubwa na kuweza kuona patterns za mbele msikilize.
 
Back
Top Bottom