Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .

Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.

Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .

HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.

So utabiri niliouyoa lazima utimie
 
nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
Kama ni kuteseka kuna sehemu watu wanakufa sana kuliko huko ukraine angalia tu hapo DRC wamekufa zaiduli ya watu 5ml.leo huko palestina waisrael wamemtandika risasi mtoto wa miaka 7 nenda yemen,Iraq au syria kaguswa mzungu tunatoa povu kweli kweli acha nao wapate suluba aisee.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Dunia itakuwa imepoteza equilibrium….haiwezi tokea.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
 

Attachments

  • Putin.jpg
    Putin.jpg
    27.1 KB · Views: 5
nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
Nadhani watamkuta kwenye mtaro wa maji taka kama
MWENDAZAKE Saddam na Gaddafi bila kusahau kumsukumizia jiti kubwa kwenye nyoro .
 
Back
Top Bottom