Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Pamoja sanaSawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sanaSawa mkuu
Duh...... kwa ninavyo muona Putin, kufa sio kitu cha kumshangaza.
kwa ufupi kbs, yule mwamba haogopi kufa.
Z
🤣🤣Siko smart, ulidanganyika.
je Putin ana nguvu gani ya kuishinda roho ya mauti?
Binafsi mimi ninamkubali sana, lakini hili lazima litokee
Sahihi akiisha maliza kazi alizotumwa hapa duniani ndipo atakufa na kila binadamu akimaliza majukumu yake lazima afe hakuna atakaedumu milele.Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .
Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.
Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .
HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
Nitakufa kwa wakati muafaka
Kauli hiyo ilitoka kwa Jangili mzoefuHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
[emoji1] anaachia hewa bila kujijuaDead brain Joe anaendeleaje?
Alisikika mkaazi mmoja wa Yombo dovya akipayuka baada ya kunywa chang'aaHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Sleepy JoeDead brain Joe anaendeleaje?
Wewe unakufa lini?Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.
So utabiri niliouyoa lazima utimie
ras jeff kapita , katika vitu ambavyo mwanadamu ana uhakika navyo ni kifo. Fanya ufanyalo utakufa tu.Alisikika mkaazi mmoja wa Yombo dovya akipayuka baada ya kunywa chang'aa