Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wewe ni shoga?
Baada ya miezi 3 nitarudi hapa na kilainishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya miezi 3 nitarudi hapa na kilainishi
Mkuu hivi kumbe Putin ni kiboko ya America?Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Apia.....
Hii mila ni machachari sana
Sio kila kifo ni mkono wa mtuUtakufa wewe utamuacha Putin. Usifikiri Putin wataweza mshughulikia kama jpm.
Mbona tulisha tabiri bana wewe una copy tuHuu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Uko wapi utabiri wako mkuu?Mbona tulisha tabiri bana wewe una copy tu
Aliishawahi kufa kabla?.... kwa ninavyo muona Putin, kufa sio kitu cha kumshangaza.
kwa ufupi kbs, yule mwamba haogopi kufa.
Z
Hili li buji buji ni lizee kabisaMOVIES zinaharibu sana bongo za vijana wengi wa Kitanzania.
Putin ni kama dume la mende, haliogopi mavi.... kwa ninavyo muona Putin, kufa sio kitu cha kumshangaza.
kwa ufupi kbs, yule mwamba haogopi kufa.
Z
Hata wewe siyo sayari kwamba utadumu mileleras jeff kapita , katika vitu ambavyo mwanadamu ana uhakika navyo ni kifo. Fanya ufanyalo utakufa tu.
Putin sio sayari kwamba atadumu milele
Daaah mamaeee! Warusi siyo watu aiseeNa unaambiwa huyo putin hapo Kremlin yeye ndio Mpole. Kuna vichaa kuliko yeye hapo ambao wao sekunde tu wanarusha nyuklia ukraine
ulaya walikutawala ww ni huyo USA , wao kwao matatizo huwajenga ila ww matatizo yanakuangushaNaona US kalipua pipe ili ulaya wafr kwa baridi na uchumi uanguke maana EUR inapumulia gas na gharama zimepanda
Kwamba Putin ndiyo mpole?[emoji23]Na unaambiwa huyo putin hapo Kremlin yeye ndio Mpole. Kuna vichaa kuliko yeye hapo ambao wao sekunde tu wanarusha nyuklia ukraine
kuisaidia dunia kwa kuivamia UKRAINE au UKRAINE alikuwa anaitesa dunia , fichen uchiz bas tuzid waheshimuMlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .
Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.
Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .
HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.