Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Tabirini basi ccm inatoka lini madarakani?
Natabiri 2025 baada ya mkutano mkuu wa ccm rundo la wana ccm kuondoka kutafuta maisha mapya katika chama kingine.. CCM kukosa nguvu bara.. si chadema si ACT bali kuna chama kitakachoiangusha CCM 2030 haifiki watakua wamepoteza nguvu yao.
 
Yawezekana ukawa utabiri unakuhusu mwenyewe sio Mtu anayepigana Vita ya ushoga Duniani.
WAAFRIKA wengi wanamwomba Mora ampe maisha marefu hili aitikise Marekani na Sera zake zake chafu ktk Dunia hii. Haujawahi jiulize bila Urusi si Marekani wangelikuwa na viburi Sana? Maana hata China Hana msaada nawe ikitokea uonevu toka Magharibi.
 
Natabiri 2025 baada ya mkutano mkuu wa ccm rundo la wana ccm kuondoka kutafuta maisha mapya katika chama kingine.. CCM kukosa nguvu bara.. si chadema si ACT bali kuna chama kitakachoiangusha CCM 2030 haifiki watakua wamepoteza nguvu yao.
Aisee! Sawa acha tuone.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Na unaambiwa huyo putin hapo Kremlin yeye ndio Mpole. Kuna vichaa kuliko yeye hapo ambao wao sekunde tu wanarusha nyuklia ukraine
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
labda putin wa tukuyu sio yule wa urusi
 
Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.

So utabiri niliouyoa lazima utimie
Unatoa utabiri halafu unasema lazima utimie!
Kutabiri maana yake ni kubashiri!Inaweza kuwa au isiwe kulingana na ulivyozichanga karata zako!
Mfano Biden ni mzee,ninaweza tabiri hawezi kutoboa term mbili madarakani bila kukata kamba!Hapo nimecheza na odds za life expectancy!Sio lazima itokee ila the odds are high to likely happen!
Ulichobet wewe tunaita ni kujilipua,Ile unatabiri idadi ya magoli Hadi mfungaji!
 
Mleta mada nipe odds 20 za uhakika za game za Leo niweke mzigo!
Ukishindwa hapo basi wewe si mtabiri bali umeandika kile ambacho unatamani kitokee!
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Wewe sio TUMIA AKILI we ni mgangagingikoko fulani😂😂😂
 
Back
Top Bottom