Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
JamiiForums-373256034.jpg
 
Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .

Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.

Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .

HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
Sahihi akiisha maliza kazi alizotumwa hapa duniani ndipo atakufa na kila binadamu akimaliza majukumu yake lazima afe hakuna atakaedumu milele.
 
Kuna watu wapumbavu unadhani nchi zingine zinaongozwa kwa akili za ccm? Poor you, unaambiwq bora ya putin.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Kauli hiyo ilitoka kwa Jangili mzoefu
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Alisikika mkaazi mmoja wa Yombo dovya akipayuka baada ya kunywa chang'aa
 
Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.

So utabiri niliouyoa lazima utimie
Wewe unakufa lini?
 
Back
Top Bottom