Kabwe Katali
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 475
- 934
Sawa ndugu yangu angalia isije kuwa unajitabiria mwenyewe kutangulia mbele za haki.Siko smart, ulidanganyika.
je Putin ana nguvu gani ya kuishinda roho ya mauti?
Binafsi mimi ninamkubali sana, lakini hili lazima litokee
Kwa hiyo Putin ni nani? Kama ni nabii hata nabii Issa alikufa kabla hajamaliza kazi ya kupeleka injili dunia yote, ndio maana akasema Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi wangu.Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .
Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.
Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .
HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
Nitakufa kwa wakati muafakaSawa ndugu yangu angalia isije kuwa unajitabiria mwenyewe kutangulia mbele za haki.
Kama ni kuteseka kuna sehemu watu wanakufa sana kuliko huko ukraine angalia tu hapo DRC wamekufa zaiduli ya watu 5ml.leo huko palestina waisrael wamemtandika risasi mtoto wa miaka 7 nenda yemen,Iraq au syria kaguswa mzungu tunatoa povu kweli kweli acha nao wapate suluba aisee.nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
Movie gani inaonyesha kifo cha Putin?MOVIES zinaharibu sana bongo za vijana wengi wa Kitanzania.
Hakika hakuna marefu yasiyo na nchiTuombe uzima
Dunia itakuwa imepoteza equilibrium….haiwezi tokea.Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Upo sahihi kabisa…Amejichanganya alitaka kumaanisha Putin Mwakyembe…nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
SawaDunia itakuwa imepoteza equilibrium….haiwezi tokea.
Mchango wa sandaNipo hapa na karatasi ya rambirambi nasubiri hiyo miezi mitatu nipate taarifa za msiba
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.
Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Nadhani watamkuta kwenye mtaro wa maji taka kamanadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.