Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Mkuu hivi kumbe Putin ni kiboko ya America?
 
ungeanza kutabiri kifo cha ccm, ningekuona wa maana kinoma
 
Putin wa Buza kwa Mama Kibonge, nimekuelewa
 
Mbona tulisha tabiri bana wewe una copy tu
 
Naona US kalipua pipe ili ulaya wafr kwa baridi na uchumi uanguke maana EUR inapumulia gas na gharama zimepanda
ulaya walikutawala ww ni huyo USA , wao kwao matatizo huwajenga ila ww matatizo yanakuangusha
 
kuisaidia dunia kwa kuivamia UKRAINE au UKRAINE alikuwa anaitesa dunia , fichen uchiz bas tuzid waheshimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…