Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Natabiri Putin kufa kifo cha kutatanisha ndani ya miezi hii mitatu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Tuombe uzima
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
MOVIES zinaharibu sana bongo za vijana wengi wa Kitanzania.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .

Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.

Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .

HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
 
Mlianza kusema ohoooo "Rais wa China kapinduliwa".
Mtoa Mada, Dunia inapitia mabadiliko ambayo hayana budi Kutokea .

Mabadiliko haya Kiini chake chote Wala sio uchumi au Siasa ..... Ni DINI !!.

Kwa hivo basi, imeamriwa Putin kuisaidia Dunia katika Umri wake .

HAWEZI Kufa Ndani ya hiyo miezi, atakufa miaka Kadhaa ijayo kama wanadam wengine wanavyokufa , kifo chake kitakuja siku nyingi zijazo Mara baada ya kukamlisha majukum yake.
fafanua khs mabadiliko ya kidini.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
 
Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.

Itakuwa hivi. Asubuhi ya jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.

Sii walinzi wake watakaokuwa na jawabu amezamazamaje na amefikaje swimming pool.

Tutayasikia mengi lakini huo ndio utakuwa mwisho wa Putin na mwanzo mpya wa Urusi mpya
Huwa nakuonaga uko smart sana.lakini kwa hili mmmh jitafakari sio kila ukijisikia unaandika tu
 
nadhani itakuwa unamtabiria kifo putin mwakyusa wa hapo mbeya.
5e763ed9deeb4215a2bab4af8c04d764.jpg
 
Back
Top Bottom