Natafuta Audio Clip ya zaidi ya Dk 5 ambayo Rais Samia anazungumza Kiingereza

Natafuta Audio Clip ya zaidi ya Dk 5 ambayo Rais Samia anazungumza Kiingereza

Nchi lugha mama ni Kiswahili.


Nitamshangaa Mtanzania asojua Lugha ya Kiswahili .lkn kamwe siwez mshangaa Mtanzania aongezee kienglish .

Wachina wanatumia Lugha yao...wako mbali sana.

Warusi...ivoivo

Wakorea, waturuki.... Ivoivo


AKILI ALIKUA NAYO JPM...HUWEZI KUILINGANISHA NA HUYU ALOSOMA KWA KUUNGA UNGA SABABU YA KUTOKUA NA AKILI.
 
Nchi lugha mama ni Kiswahili.


Nitamshangaa Mtanzania asojua Lugha ya Kiswahili .lkn kamwe siwez mshangaa Mtanzania aongezee kienglish .

Wachina wanatumia Lugha yao...wako mbali sana.

Warusi...ivoivo

Wakorea, waturuki.... Ivoivo


AKILI ALIKUA NAYO JPM...HUWEZI KUILINGANISHA NA HUYU ALOSOMA KWA KUUNGA UNGA SABABU YA KUTOKUA NA AKILI.
Mkuu sio kila alosoma kwa kuunga unga hakuwa na akili
 
Samia hata maneno ya kawaida tu ya Kiingereza hajui kuyatamka vizuri.

Hata akiwa anasoma bado anashindwa kuyatamka.

Ni wa kawaida sana kwenye hiyo lugha.

Na hayuko vizuri kwenye kuongea.

Ukiona mtu anadai Samia yuko vizuri kwenye Kiingereza basi jua mtu huyo naye hiyo lugha inampiga chenga.
Na kwann mzozane kisa Lugha??


Embu tutazame Akili ya mwendazake na huyu mnayemsifu .


Huyu ni KILAZA ,alisoma kwa kuunga unga, na SABABU ya kuunga unga, sio umasikin Bali AKILI HAMNA.
 
Putin hajui kingereza hata kimoja lakini anaitikisa dunia
The world has had the opportunity to see for themselves the Russian president's ability to speak in the current lingua franca. In 2013 Putin made a pitch in English for Russia to host the 2020 World Expo in Yekaterinburg, Russia's fourth-largest city. According to Kremlin spokesman Dmitry Peskov, Putin is an able speaker in English as well. Peskov told Rossiya 1, a Russian state-run television channel, that Putin speaks for himself in English when conversing with other foreign leaders on the sidelines of international summits. "He practically understands English completely and sometimes even corrects the translators," Peskov said
 
Tuna
Nitafurahi sana nikipata audio Clip ambayo itazidi dk 5 Rais wetu Mpendwa akichana mistari kwa kiingereza katika mahojiano au maelezo flani sehemu yoyote. Iwe imenyooka haijaungwa ungwa.

Nitafurahi sana. Tuachane na haya madai ya watu kuwa yeye huwa mara nyingi anasoma tu... Tunataka kuwaonesha watu kuwa hata amewahi hojiwa kwa English au akahutubia watu wa English.

Mpaka sasa ni Maraisi wawili tu wamewahi kuongea na Wasomi vyuoni. Mwalimu Julius K. Nyerere na Benjamini Mkapa. Hawa nimewahi wasikiliza. Kwa kweli tunahitaji miaka mingi kupata Marais Smart kama hawa wanaojiamini.

Mkapa hadi Midaharo alikuwa anakubali. Baada ya yeye hakuna ambaye amewahi kukubali midaharo.
Watanzania ,tunaonyesha ujinga na upumbafu mkubwa ,kwa kufikiria kuwa kuongea kiingereza ndio maendeleo.Huu ni ujinga mkubwa Sana.Na huu ni aina ya mbegu za ukoloni ,zilizopandikizwa vichwani mwetu.Hata Lissu siku moja nilimsikia kwenye kampeni akibwabwaja kuwa ,baadhi ya wanasheria hawajui kiingereza.Hivi tulilogwa wapi?Labda niwambie kuwa nchi zote zilizoendelea wanatumia zaidi mother tongue.Lugha zao za asili.Mfano China,Korea,Urusi,Japan,Ufaransa,Italy,Hispania.Ujinga wetu ni pale hatutaki kuitumia lugha yetu ,na tunasmini kiingereza.Eti mtu akiongea kiingereza kizuri tunamsifia Sana.Tunasema huyo ndio msomi.Mbona Kuna watu hapa bongo,wanaongea kiingereza kizuri Lakini hawana elimu kabisa.Ila tu wamekaa na waingereza muda mrefu.
 
Tuna

Watanzania ,tunaonyesha ujinga na upumbafu mkubwa ,kwa kufikiria kuwa kuongea kiingereza ndio maendeleo.Huu ni ujinga mkubwa Sana.Na huu ni aina ya mbegu za ukoloni ,zilizopandikizwa vichwani mwetu.Hata Lissu siku moja nilimsikia kwenye kampeni akibwabwaja kuwa ,baadhi ya wanasheria hawajui kiingereza.Hivi tulilogwa wapi?Labda niwambie kuwa nchi zote zilizoendelea wanatumia zaidi mother tongue.Lugha zao za asili.Mfano China,Korea,Urusi,Japan,Ufaransa,Italy,Hispania.Ujinga wetu ni pale hatutaki kuitumia lugha yetu ,na tunasmini kiingereza.Eti mtu akiongea kiingereza kizuri tunamsifia Sana.Tunasema huyo ndio msomi.Mbona Kuna watu hapa bongo,wanaongea kiingereza kizuri Lakini hawana elimu kabisa.Ila tu wamekaa na waingereza muda mrefu.
Umesema kweli tupu,na umemaliza mjadala.Ni ujinga kupenda lugha isio yako.Lugha ndio utamaduni wako,utapendaje utamaduni usio wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitafurahi sana nikipata audio Clip ambayo itazidi dk 5 Rais wetu Mpendwa akichana mistari kwa kiingereza katika mahojiano au maelezo flani sehemu yoyote. Iwe imenyooka haijaungwa ungwa.

Nitafurahi sana. Tuachane na haya madai ya watu kuwa yeye huwa mara nyingi anasoma tu... Tunataka kuwaonesha watu kuwa hata amewahi hojiwa kwa English au akahutubia watu wa English.

Mpaka sasa ni Maraisi wawili tu wamewahi kuongea na Wasomi vyuoni. Mwalimu Julius K. Nyerere na Benjamini Mkapa. Hawa nimewahi wasikiliza. Kwa kweli tunahitaji miaka mingi kupata Marais Smart kama hawa wanaojiamini.

Mkapa hadi Midaharo alikuwa anakubali. Baada ya yeye hakuna ambaye amewahi kukubali midaharo.
Wewe mwenyewe kiswahili hujui,umeandika MIDAHARO,ndio kitu gani hicho.Toa ....kilichoko jichoni mwako....Mimi na wewe hatuchekani,kwa kutojua kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tuna

Watanzania ,tunaonyesha ujinga na upumbafu mkubwa ,kwa kufikiria kuwa kuongea kiingereza ndio maendeleo.Huu ni ujinga mkubwa Sana.Na huu ni aina ya mbegu za ukoloni ,zilizopandikizwa vichwani mwetu.Hata Lissu siku moja nilimsikia kwenye kampeni akibwabwaja kuwa ,baadhi ya wanasheria hawajui kiingereza.Hivi tulilogwa wapi?Labda niwambie kuwa nchi zote zilizoendelea wanatumia zaidi mother tongue.Lugha zao za asili.Mfano China,Korea,Urusi,Japan,Ufaransa,Italy,Hispania.Ujinga wetu ni pale hatutaki kuitumia lugha yetu ,na tunasmini kiingereza.Eti mtu akiongea kiingereza kizuri tunamsifia Sana.Tunasema huyo ndio msomi.Mbona Kuna watu hapa bongo,wanaongea kiingereza kizuri Lakini hawana elimu kabisa.Ila tu wamekaa na waingereza muda mrefu.
Mambo hayaishii hapo tu Mkuu, sheria zetu ziko kwa lugha ya kigeni zaidi. Na sidhani kwamba ni kosa Lisu kumsema mwanasheria mwenzake kushindwa kuongea kiingereza, maana mengi kwenye kozi zao yanafundishwa kwa kiingereza. Sasa utashangaa alipitia tundu lipi akaukwaa uanasheria. Na si hivyo tuu, msomi ni vizuri akaupinda mgongo afahamu angalau lugha kuu mbili ikiwepo moja ya kigeni. Kwani kiingereza nani alikudanganya ni lugha ya kutisha? Watu waache uvivu. Zipo nchi ukifika unakuta watu wengi wanaongea lugha nne. Niliwahi kufika duka moja uswiss nilipokuwa naulizia bei ya kitu kwa kiingereza, mara akaingia mteja, muuzaji akaanza kuongea naye kifarannsa, mara akaingia mwingine akaanza kuongea naye Kitaliano, mara akaingi mwingine wakaanza kijerumani. Nilipouliza inawezekanaje kirahisi namna hiyo nilijibiwa kuwa nchini mwao hiyo ni kawaida watu huongea lugha nne hadi tano.
Sasa kinachotushinda kujifunza mbili tu (ukiacha ya kabila lako) ni nini?.
Tuache kujilegeza tuhimizane tusonge mbele.
 
ushatoa msimamo wako hyo clip haina haja
 
Nitafurahi sana nikipata audio Clip ambayo itazidi dk 5 Rais wetu Mpendwa akichana mistari kwa kiingereza katika mahojiano au maelezo flani sehemu yoyote. Iwe imenyooka haijaungwa ungwa.

Nitafurahi sana. Tuachane na haya madai ya watu kuwa yeye huwa mara nyingi anasoma tu... Tunataka kuwaonesha watu kuwa hata amewahi hojiwa kwa English au akahutubia watu wa English.

Mpaka sasa ni Maraisi wawili tu wamewahi kuongea na Wasomi vyuoni. Mwalimu Julius K. Nyerere na Benjamini Mkapa. Hawa nimewahi wasikiliza. Kwa kweli tunahitaji miaka mingi kupata Marais Smart kama hawa wanaojiamini.

Mkapa hadi Midaharo alikuwa anakubali. Baada ya yeye hakuna ambaye amewahi kukubali midaharo.
Wewe mwenyewe uko fluent kiingereza ?
 
Ninaelewa Mkuu, hususan suala la Uchumi linafanya wengine waunge ..

Ila kwa huyu haipo ivo, uwezo wa kusomeshwa popote ulikuwepo, ILA KILAZA.



Mwachen Mwendazake apumzikie, Mwamba alikua Genius!!.
haya wew timamu nan maana ndyo rais hvyo
hv mfano wew ukirud shule unaweza kuwa unapata matokeo yaleyale?
 
Mkapa anasifiwa sana humu.
Keshakufa ati
20220226_201712.jpg
 
Back
Top Bottom