Natafuta Audio Clip ya zaidi ya Dk 5 ambayo Rais Samia anazungumza Kiingereza

Natafuta Audio Clip ya zaidi ya Dk 5 ambayo Rais Samia anazungumza Kiingereza

Tuna

Watanzania ,tunaonyesha ujinga na upumbafu mkubwa ,kwa kufikiria kuwa kuongea kiingereza ndio maendeleo.Huu ni ujinga mkubwa Sana.Na huu ni aina ya mbegu za ukoloni ,zilizopandikizwa vichwani mwetu.Hata Lissu siku moja nilimsikia kwenye kampeni akibwabwaja kuwa ,baadhi ya wanasheria hawajui kiingereza.Hivi tulilogwa wapi?Labda niwambie kuwa nchi zote zilizoendelea wanatumia zaidi mother tongue.Lugha zao za asili.Mfano China,Korea,Urusi,Japan,Ufaransa,Italy,Hispania.Ujinga wetu ni pale hatutaki kuitumia lugha yetu ,na tunasmini kiingereza.Eti mtu akiongea kiingereza kizuri tunamsifia Sana.Tunasema huyo ndio msomi.Mbona Kuna watu hapa bongo,wanaongea kiingereza kizuri Lakini hawana elimu kabisa.Ila tu wamekaa na waingereza muda mrefu.

..mwanasheria kutokujua Kiingereza sio sahihi.

..taaluma kama bwana kilimo sio lazima awe mahiri ktk kiingereza, lakini sio mwanasheria.
 
Hebu kosoa nilipokosea kiswahili.siyo ukiwa siku zako za mwezi unaleta tu kisirani kwa watu ... Onesha makosa dada.
Jifunze kwanza kuandika kiswahili kabla ya kuleta madai kwamba mtu unahesabiwa kuwa smart kwa kuongea kiingereza.
Ni sweeping statement ya kijinga sana.
 
Na kwann mzozane kisa Lugha??


Embu tutazame Akili ya mwendazake na huyu mnayemsifu .


Huyu ni KILAZA ,alisoma kwa kuunga unga, na SABABU ya kuunga unga, sio umasikin Bali AKILI HAMNA.
Anaweza kuja kufanikiwa kuliko marais wote wasomi unaowajua wewe tangu uhuru. Elimu ya darasani kitu kimoja, kujua kujichanganya na watu ni kitu kingine tofauti kabisa.
 
Ukiwa jukwaani unaangalia mpira ni rahisi sana kukosoa.Ingia ucheze huo mpira ,utapiga ugoko mpaka ukome.
Talk is cheap.
 
Tuna

Watanzania ,tunaonyesha ujinga na upumbafu mkubwa ,kwa kufikiria kuwa kuongea kiingereza ndio maendeleo.Huu ni ujinga mkubwa Sana.Na huu ni aina ya mbegu za ukoloni ,zilizopandikizwa vichwani mwetu.Hata Lissu siku moja nilimsikia kwenye kampeni akibwabwaja kuwa ,baadhi ya wanasheria hawajui kiingereza.Hivi tulilogwa wapi?Labda niwambie kuwa nchi zote zilizoendelea wanatumia zaidi mother tongue.Lugha zao za asili.Mfano China,Korea,Urusi,Japan,Ufaransa,Italy,Hispania.Ujinga wetu ni pale hatutaki kuitumia lugha yetu ,na tunasmini kiingereza.Eti mtu akiongea kiingereza kizuri tunamsifia Sana.Tunasema huyo ndio msomi.Mbona Kuna watu hapa bongo,wanaongea kiingereza kizuri Lakini hawana elimu kabisa.Ila tu wamekaa na waingereza muda mrefu.
We mjinga, tega sikiontukuelimoshe. Huwezi kutenganisha uelewa wa mtu na kujua kiingereza kwa hapa Tanzania. Asiyejua kiingereza maana yake hajaelimika. Kwasabb elimu yetu inatolewa kwa lugha ya kiingereza. Sasa mtu ataipataje elimu kama lugha inayotumika kuipata hiyo huijui??

Nchi unazoona zomeendelea lkn watu wake hawajui kiingereza ni kwamba wanatumia lugha zao kufundishia. Hawatumii Kiingereza.

Umenielewa we mfuasi wa jiwe?? Halafu hata wewe hujui kiingereza ndiyo maana inakuuma sana tukiwakosoa wasiojuq kiingereza. Pole sana
 
Putin hajui kingereza hata kimoja lakini anaitikisa dunia
Lugha zinazotambulika kimataifa, eg hata kwenye shughuli za un: 1English, 2. French, 3. Spanish, 4. Russian, 5. Chinese & 6. Arabic
Sisi Tz, Eac na nchi nyingine zilizotawaliwa na mwigereza ni anglophone. Kiswahili my brother usilinganishe na kirusi. Na kiswahili chetu ndio kinatufanya tukose kujiamini ktk majukwaa ya kimataifa, mfano 1. Mahakama ya ictr ilipokuwa Arusha, wafanyakazi watanzania walikuwa mwachache sana, tena kada za chini zaidi, simply b'cause wengi waloomba kazi pale walifeli kwenye usaili. 2. Wakenya wanaofanyakazi ktk mashirika ya kimataifa ni wengi sana ( mchango wao pia kwa pato la taifa ni mkubwa), na ni sababu tu wanamudu lugha ya malkia.
 
Nitafurahi sana nikipata audio Clip ambayo itazidi dk 5 Rais wetu Mpendwa akichana mistari kwa kiingereza katika mahojiano au maelezo flani sehemu yoyote. Iwe imenyooka haijaungwa ungwa.

Nitafurahi sana. Tuachane na haya madai ya watu kuwa yeye huwa mara nyingi anasoma tu... Tunataka kuwaonesha watu kuwa hata amewahi hojiwa kwa English au akahutubia watu wa English.

Mpaka sasa ni Maraisi wawili tu wamewahi kuongea na Wasomi vyuoni. Mwalimu Julius K. Nyerere na Benjamini Mkapa. Hawa nimewahi wasikiliza. Kwa kweli tunahitaji miaka mingi kupata Marais Smart kama hawa wanaojiamini.

Mkapa hadi Midahalo alikuwa anakubali. Baada ya yeye hakuna ambaye amewahi kukubali midaharo.
Msenge
Nchi lugha mama ni Kiswahili.


Nitamshangaa Mtanzania asojua Lugha ya Kiswahili .lkn kamwe siwez mshangaa Mtanzania aongezee kienglish .

Wachina wanatumia Lugha yao...wako mbali sana.

Warusi...ivoivo

Wakorea, waturuki.... Ivoivo


AKILI ALIKUA NAYO JPM...HUWEZI KUILINGANISHA NA HUYU ALOSOMA KWA KUUNGA UNGA SABABU YA KUTOKUA NA AKILI.
Anaeamini JPM alikua na akili, na yeye hana akili
 
Jf wote wanajua kingereza kuanzia kuongea hadi kuandika

Ova
 
Back
Top Bottom