Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni sahihi π€Mtu akipata chombo anakuwa too attached anaweza ona chombo ni chake. Experience toka 2013 mpaka leo ni miaka kumi na.
uzuri hesabu zangu huwa naandika kwenye daftari π anyway naoka tunatoka nje ya mada.
Kuna watu huwa wanatoa bajaji humu sana ngoja waje. .
Amina nashukuru sana kwa kunitakia kheri njemaKila la kheri mkuu ,matajiri wenye bajaji hawatakupita hv hv...
Ucjali mkuu watu na roho zao kakaAmina nashukuru sana kwa kunitakia kheri njema
Nami naamini nitasikilizwa
Kweli hujakosea upo Sahihi kakaUcjali mkuu watu na roho zao kaka
NdioUlishawahi kupewa Bajaj au pikipiki ya mkataba?
Hapana hutafutiwi ni wewe binafsi kujitafutia na kujiwekea njia zako za kukuwezesha kuingiza kipatoHivi ukipewa bajaji na kijiweau route unatafutiwa au unajitafutia?
Gari vp!Habari!
Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu kwa siku. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar es Salaam.
Nipo Temeke Dar es Salaam
Hilo nalitambua na ninao ila sijaweza weka apo kuokoa nafasi ila ni moja ya bigezo vya lazima kuwa navyoKwenye uzi wako ongeza na wadhamini kama huna kawatafute utapata chap haja ya moyo wako.
Tupe experience sisi hustlers wenzio!! Ilikuaje ukashindwa kumaliza mkataba??Ndio
Naweza pata namba yako ya simu kwa mazungumzo zaidiGari vp!
Sikuwa kwenye mkataba, bali nilikuwa kwenye makabiziano ya kukodisha chombo na kumrejeshea kipato kwa kiasi tulicho ridhiana kwa makubaliano yetu.Tupe experience sisi hustlers wenzio!! Ilikuaje ukashindwa kumaliza mkataba??
#Madosi wanakusoma