- Thread starter
- #41
Ni maeneo ya wapi?njoo kremlin hapa moscow chap nakupatia
Na kwa mawasiliano zaidi nakupataje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni maeneo ya wapi?njoo kremlin hapa moscow chap nakupatia
Ni ombi langu kwenuHii nayo ni international news ?
Mtu mwenye makundi na kusiliza maamuzi na mawazo ya vikundi huwapa kipaumbele kwa watachokisema nae hufatisha umoBodaboda kuna kitu wanaita "change kota", unamkabidhi chombo brand new then anachoenda kukifanya sasa, ukirudi kesho unaweza ukaikataa pikipik yako. Wanabadilisha matairi, ngao, carrier, tank la mafuta wanaweka vya zamani hivyo vipya wanauza.
[emoji81][emoji81]dahNi maeneo ya wapi?
Na kwa mawasiliano zaidi nakupataje?
Ngumu sna kw nyakati tulizonazo mtu kutoa hati yake ya nyumba kumdhamini mtu mwingineMleta mada ngoja nicheki jina lako
Robby333
Ukiwa na mdhamini mwenye hati ya nyumba au kiwanja nadhan kuja bank zinakopesha bajaji safi kabisa
Mkuu naomba utuwekee picha ya hayo mashamba..Njoeni mikoani huku tulime mashamba yapo mengi
Sawa dar ila maeneo gani?[emoji81][emoji81]dah
Nilishawah toa hati ya nyumba ku mgurantee someone ila uzuri aliuza kiwanja chake ili kumaliza deni. .Ngumu sna kw nyakati tulizonazo mtu kutoa hati yake ya nyumba kumdhamini mtu mwingine
Kilimo ndugu yangu usikifanye kwa simu unatakiw ukae shambani. .Mkuu naomba utuwekee picha ya hayo mashamba..
Tuone 😊🤓 hayo mashamba.....Kilimo ndugu yangu usikifanye kwa simu unatakiw ukae shambani. .
From my experience hata ukiwa na kijana mzuri unless condition za chombo zinambana tofaut na hesabu labda tuseme mkataba japo wachache sana; chombo kinambadilisha mtu. That's my experience kuwa chombo kinambadilisha hata yule aliye mwema.
Mtu akishapata chombo tu ataleta hesabu vizuri kadri siku zinavyosonga anaona kama anakupa hela bure. Mda mwingine anaitolea sana macho hesabu anayokuletea anaona kama anakunufaisha sana wakati hajui ulipambana vipi kununua chombo. .
Sijamaanisha wewe ni mmoj wapo nimesema kutokana na experience huna haja ya kujitetea...
Nimefatilia ila mkopo kwa watu adi uwe na kianzio na pia wana sheria na taratibu wao kwenye malipo ya marejeshoNenda watu kavute mkopo
Km alivyosema am 4 real pmja na changamoto tulizonazo nyakati hzi lkn bado haiondoi ukwel kuwa watu wazuri bdo wapoNilishawah toa hati ya nyumba ku mgurantee someone ila uzuri aliuza kiwanja chake ili kumaliza deni. .
Nimefatilia ila mkopo kwa watu adi uwe na kianzio na pia wana sheria na taratibu wao kwenye malipo ya marejesho
Sina kianzioSo wewe huna kianzio au hujapendezwa na taratibu za malipo ya marejesho
Kama kweli muaminifu temeke nzima umekosa bajaji mpaka uje hapa?Habari!
Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu kwa siku. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar es Salaam.
Nipo Temeke Dar es Salaam
Ndo maana nimekuja uku!Kama kweli muaminifu temeke nzima umekosa bajaji mpaka uje hapa?
Hawezi kuwa na driving license akakosa TIN.Naomba kukushauri kitu,ikiwa kama utapata kwa mtu yote kheri ila ushauri wangu ni kwamba kama una laki tatu na tin no nenda watu wakakukopeshe bajaji wapo hapo tandika majaribio