Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi
Mkuu kuanzisha uzi kila siku hakutakusaidia.

Sikukatishi jamaa, ila kuanzisha uzi kila siku hakutakupatia bajaji. Bora uwe unahuisha ule uzi wako kwa kuweka baadhi ya comments kwa chini. Automatically utapop up na kuonekana.

Kuanzisha uzi kila siku ni kuleta usumbufu.

Mungu akajibu hitaji lako.
 
Mkuu kuanzisha uzi kila siku hakutakusaidia.

Sikukatishi jamaa, ila kuanzisha uzi kila siku hakutakupatia bajaji. Bora uwe unahuisha ule uzi wako kwa kuweka baadhi ya comments kwa chini. Automatically utapop up na kuonekana.

Kuanzisha uzi kila siku ni kuleta usumbufu.

Mungu akajibu hitaji lako.
Sawa kaka nashukuru nimekuelewa nilikuwa silijui ilo
 
Mkuu kuanzisha uzi kila siku hakutakusaidia.

Sikukatishi jamaa, ila kuanzisha uzi kila siku hakutakupatia bajaji. Bora uwe unahuisha ule uzi wako kwa kuweka baadhi ya comments kwa chini. Automatically utapop up na kuonekana.

Kuanzisha uzi kila siku ni kuleta usumbufu.

Mungu akajibu hitaji lako.
Siyo kila jambo unalolijua wewe basi wote wanajua. Siyo kila njia unayotumia wewe kutatua changamoto zako za kipato kila mtu anatumia
Siyo kila mwana jf ana uwezo sawa na mwingine katika kutumia mtandao husika
Tujiepushe sana kuwa na tabia hukumishi
 
Siyo kila jambo unalolijua wewe basi wote wanajua. Siyo kila njia unayotumia wewe kutatua changamoto zako za kipato kila mtu anatumia
Siyo kila mwana jf ana uwezo sawa na mwingine katika kutumia mtandao husika
Tujiepushe sana kuwa na tabia hukumishi
Ni kweli kaka kama mimi sijui mifumo ya humu pamoja na mipangilio ya utaribu yalivyo na pia tunatofautina huelewa. Ina ni pasaa kuelewesha na si mpaka ifike hatua ya kufutiwa post ambao ndo uzi
 
Ni kweli kaka kama mimi sijui mifumo ya humu pamoja na mipangilio ya utaribu yalivyo na pia tunatofautina huelewa. Ina ni pasaa kuelewesha na si mpaka ifike hatua ya kufutiwa post ambao ndo uzi
Mengine una yaacha tu ndiyo utanzania na uafrica huo
 
Ndugu kwanini usiende kampuni ya WATU ukachukue pikipiki ya mkopo?
Mkataba ukiisha chombo inakuwa yako
 
Siyo kila jambo unalolijua wewe basi wote wanajua. Siyo kila njia unayotumia wewe kutatua changamoto zako za kipato kila mtu anatumia
Siyo kila mwana jf ana uwezo sawa na mwingine katika kutumia mtandao husika
Tujiepushe sana kuwa na tabia hukumishi
Unacomment kwa hisia. Nimempa namna ya kufanya. Sijamhukumu mtu. Nyuzi zake zikiwa nyingi humu nini kitatokea? Kila mtu atampuuzia.
 
Siyo kila jambo unalolijua wewe basi wote wanajua. Siyo kila njia unayotumia wewe kutatua changamoto zako za kipato kila mtu anatumia
Siyo kila mwana jf ana uwezo sawa na mwingine katika kutumia mtandao husika
Tujiepushe sana kuwa na tabia hukumishi
Dr Restart hajahukumu bali ametoa ushauri.
 
Kama kuna mtu yupo teyari kuchukua mkopo wa bajaji niweze kufanyia kazi alfu niwe naleta hesabu naomba anisaidie
 
Habari JamiiForums

Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu. Nina uzoefu.

Wadhamini ni wazazi wangu
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar
Nipo maeno ya Temeke
 
Back
Top Bottom