X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Kina mama anacho kirikuu anatafuta dereva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akakusimamie mpambanajiHabari!
Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu kwa siku. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar es Salaam.
Nipo Temeke Dar es Salaam
Bajaji ni 1m sio laki 3 mkuuNaomba kukushauri kitu,ikiwa kama utapata kwa mtu yote kheri ila ushauri wangu ni kwamba kama una laki tatu na tin no nenda watu wakakukopeshe bajaji wapo hapo tandika majaribio
Kama ulienda ukauliza na wakakujibu hivyo sawa lkn kama umesikia kwa watu nenda ukaulize upate uhakikaBajaji ni 1m sio laki 3 mkuu
Amina Mungu ananiteteaMungu akakusimamie mpambanaji
Mimi ni mnufaika ndugu yangu...piki piki yangu ninayoendesha nimechukua kwao ni boxer 125 imenigharimu 400,000/= Watu...nawafahamu vizuri wapo mwenge mpakani Kwa 300,000/= anaweza kupata labda tvs 125Kama ulienda ukauliza na wakakujibu hivyo sawa lkn kama umesikia kwa watu nenda ukaulize upate uhakika
Upo tayari hata mikoa jirani na dar es salaamHabari!
Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu kwa siku. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar es Salaam.
Nipo Temeke Dar es Salaam
Ndio ninae.Je unamzamini?
Tukiweza zungumza vizuri na kuelekezana vyema naweza fanyaUpo tayari hata mikoa jirani na dar es salaam
Okee.Ni ombi langu kwenu
Mwaga maelezo vzr mkuuBajaji ni 1m sio laki 3 mkuu
Ndio mkopo wao una riba Kwa Mimi wa piki piki boxer 125 nimechukua Kwa laki 4 ila Kila wiki narejesha shilingi 60500/= Kwa muda wa miezi 15...hivyo hapo ukipiga hesabu utapata riba Yao baada ya kutoa bei harisi ya piki piki...uzuri wa hao watu ukiwa na kianzio wanacho kitaka piki piki unapata muda huo huo...!Mwaga maelezo vzr mkuu
Wenye shida tupo wengi
Wanakopesha kwa namna gani,Kuna riba?
Mkopo ni WA muda gani?
Amina na asante sana Mungu ananipiganiaKila lakheri mkuu katika kutafuta.
Unapatikana dar sehemu gani mkuuHabari zenu!
Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu kwa siku. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA)
Namba: 0674074563
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa Dar es Salaam.
Nipo Temeke Dar es Salaam