Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Huyo mfanyakazi mwenzako alikukataza kumuoa huyo binti?

Kama ulitaka kumuoa akiwa mfanyakazi wako wa ndani, ulishindwa nini kumuoa akiwa mfanyakazi wa ndani wa workmate? Huoni kama unatuletea ukichaa
 
Huyo mfanyakazi mwenzako alikukataza kumuoa huyo binti?

Kama ulitaka kumuoa akiwa mfanyakazi wako wa ndani, ulishindwa nini kumuoa akiwa mfanyakazi wa ndani wa workmate? Huoni kama unatuletea ukichaa
wewe ni mwehu nini? unajua kaenda kufanyia kazi wapi? unajua mi naishi wapi? Unajua chemistry ya awali ilikuwaje?
 
Jana nimeenda kutembelea sehemu nimekuta house girl mbichii kifuani saa sita nilijikuta napatwa na wivu
Ukiwa na mfanyakazi usipomtamani mtaenda vizuri ila ukishaingiza mapenzi unaharibu, mm mfanyakazi hata awe mwarabu sihangaiki nae kama ni mapenzi ni nje ya familia ila sio ndani, familia ukishaingiza mapenzi unaharibu
 
wewe ni mwehu nini? unajua kaenda kufanyia kazi wapi? unajua mi naishi wapi? Unajua chemistry ya awali ilikuwaje?
Basi hukumpenda ni nyege tu na mihemko ya ukaribu nae. Ungekuwa umemuoa ukapata deal la maana ila mkoa wa mbali ungemuacha ukaenda kufanya kazi.
 
Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Dah ulipokonywa mke jamaa yangu
 
Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Ujue Leo nilikua sina ratiba ya kucheka🤠🤠🤠🤠🤠🤠
 
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam

Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili

Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini

Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Dah,
• Kufua nguo za wawili,
• Kupika chakula cha wawili,
yaani wewe na yeye.
• Awe Mkristo.

Hili tangazo la kujipatia mke bila usumbufu na gharama nyingi limekaa kimkakati sana broo
 
Dah,
• Kufua nguo za wawili,
• Kupika chakula cha wawili,
yaani wewe na yeye.
• Awe Mkristo.

Hili tangazo la kujipatia mke bila usumbufu na gharama nyingi limekaa kimkakati sana broo
Niliposema wawili sikumjumlisha na yeye
 
Back
Top Bottom