Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mfanyakazi mwenzako alikukataza kumuoa huyo binti?Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
wewe ni mwehu nini? unajua kaenda kufanyia kazi wapi? unajua mi naishi wapi? Unajua chemistry ya awali ilikuwaje?Huyo mfanyakazi mwenzako alikukataza kumuoa huyo binti?
Kama ulitaka kumuoa akiwa mfanyakazi wako wa ndani, ulishindwa nini kumuoa akiwa mfanyakazi wa ndani wa workmate? Huoni kama unatuletea ukichaa
Ukiwa na mfanyakazi usipomtamani mtaenda vizuri ila ukishaingiza mapenzi unaharibu, mm mfanyakazi hata awe mwarabu sihangaiki nae kama ni mapenzi ni nje ya familia ila sio ndani, familia ukishaingiza mapenzi unaharibuJana nimeenda kutembelea sehemu nimekuta house girl mbichii kifuani saa sita nilijikuta napatwa na wivu
Oya hujakutana na pini acha tu, mtoto awe mkali alafu bado mbichii utamla tuUkiwa na mfanyakazi usipomtamani mtaenda vizuri ila ukishaingiza mapenzi unaharibu, mm mfanyakazi hata awe mwarabu sihangaiki nae kama ni mapenzi ni nje ya familia ila sio ndani, familia ukishaingiza mapenzi unaharibu
Basi hukumpenda ni nyege tu na mihemko ya ukaribu nae. Ungekuwa umemuoa ukapata deal la maana ila mkoa wa mbali ungemuacha ukaenda kufanya kazi.wewe ni mwehu nini? unajua kaenda kufanyia kazi wapi? unajua mi naishi wapi? Unajua chemistry ya awali ilikuwaje?
Wabongo kwa kukuza mbona mleta mada atakomaApike chakula cha watu wawili tu??
Ina maana mtoto wa watu atakua hali?
Hapo mshakua watatu
Full stop.
Nilimuonea wivu mwenye nyumba maana sio kwa kile chomboUlipatwa na wivu wa nini sasa?Siyo ukaanza kumtamani?
kuna sehemu nimesema nimempenda boss?Basi hukumpenda ni nyege tu na mihemko ya ukaribu nae. Ungekuwa umemuoa ukapata deal la maana ila mkoa wa mbali ungemuacha ukaenda kufanya kazi.
Dah ulipokonywa mke jamaa yanguNiliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Ujue Leo nilikua sina ratiba ya kucheka🤠🤠🤠🤠🤠🤠Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Dah,Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)
Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam
Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili
Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini
Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Kwani house girl sio mtu mpaka asiweze kuwa mke? Kuwa na akili timamuHauna heshima! Kwa hiyo housegirl ulwako unaweza kimgeuza awe mkeo?
Oya acha tu hawa mademu wakali kingese fikiria akiwa na pesa watakuajeUngemwaga sera za mambo ya ndani na ushirikiano kinyumba.