Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoleta binti wa kazi nyumbani kwako unapaswa kumheshimu kama mwanafamilia wako! Ng'ombe wewe! Huo ni udhalilishaji maana umetumia udhaifu/unyonge wake kufanya naye ngono! Utakuja kufia gerezani!Kwani house girl sio mtu mpaka asiweze kuwa mke? Kuwa na akili timamu
Umenena vema mkuu! Kuna ng'ombe hapo juu inafikri ukileta mfanyakazi wa ndani unamgeuza pa kupunguza shida! Hovyo kabisa!Sheria irekebishwe; binti wa kumzaa; binti wa kuasili; binti wa kazi za ndani - house girl should be of the same status in terms of sexual status! Wote ni wanao and should be sexually treated equally!
Mbwa wewe! Kwani kumuoa binti wa kazi ni kumlazimisha? Au binti wa kazi sio binaadamu mpaka iwe najisi kuolewa?Unapoleta binti wa kazi nyumbani kwako unapaswa kumheshimu kama mwanafamilia wako! Ng'ombe wewe! Huo ni udhalilishaji maana umetumia udhaifu/unyonge wake kufanya naye ngono! Utakuja kufia gerezani!
Ushasema wengine! Vipi Dada ulikuwa house girl nini?Utaoa housegirl wangapi? wengine wanakaa mwezi 1 wanaondoka....
Na sasa Nani? Bar medi ama?Hapana Braza nilikua Houseboy.
Aliona na kujua unachotaka kufanya. Wanawake walioharibu life huwa hawapendi kuona mabinti wadogo wanatengeneza maisha na mtu ambaye wao walitamani awatongoze wao.Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
mkuu kama ulikuwepo,sababu kitu ameenda kusema kwa mama wa yule binti ni kuwa ntakuwa namtaka yule binti nimchezee,kaenda kupanda hiyo mbegu kichwani mwa mama wa yule binti. Sasa wasiwasi wangu mkubwa,huyo mfanyakazi mwenzangu "kaoa" mwanaume jobless,alafu ni mwanamke havutii kimuonekano na muda mwingi anashida kazini,Nyumbani atakuwa anamuacha huyo binti wa kazi na mumewe,naona kabisa jamaa anaenda kumla yule mtoto. Sasa ni heri angeliwa na mimi hata nikimpa mimba nalea bila shida kuliko bomu waliloenda kulipanga huko. Ni suala la muda tu....Aliona na kujua unachotaka kufanya. Wanawake walioharibu life huwa hawapendi kuona mabinti wadogo wanatengeneza maisha na mtu ambaye wao walitamani awatongoze wao.
Kama huyo akikuharibia makusudi ili huyo binti akose na wewe ukose yeye ndio ajiskie vizuri. Wanakuwaga mabwege kweli.
Unalazimisha ukatili kwa madada wa nyumbani? Naona una akili ya mende punda wewe!Unalazimisha ujinga! Naona una kichwa cha panzi ng'ombe wewe!
Ng'ombe ni wewe na aliekuleta dunianiUmenena vema mkuu! Kuna ng'ombe hapo juu inafikri ukileta mfanyakazi wa ndani unamgeuza pa kupunguza shida! Hovyo kabisa!
Sawasawa mkuu! Nashangaa kuna ng'ombe hapo juu imeshupalia ilete house girl halafu imgeuze kuwa mke! Ukishamweja ndani kukusaidia kazi huyo ni mwanafamilia wala hupaswi kumtamani!Binti wa kazi unamuheshimu kama mdogo wako wa kike, usimwingize kwenye mahusiano kwasababu utakosa heshima ndani ya familia, pia unapokuwa na familia tambua ni heshima ile kwahiyo usiifanye danguro
Anayefanya ukatili ni nani kati ya mimi ninayemheshimu dada wa kazi kama mwanafamilia wangu na wewe unayemmega? Wacha hizo wewe pimbi! Inaonesha hata uelewa wako kwenye maswala ya ukatili ni zero!Unalazimisha ukatili kwa madada wa nyumbani? Naona una akili ya mende punda wewe!
Hapo kwenye mtoto mdogo ndipo penye utata na panahitaji kuwekwa wazi.Ningesema watatu inamana angedhani familia ina watu watatu pamoja na yeye wa nne, sikumjumuisha ili atambue mazingira ya kazi yakoje
Watu wanaoheshimu familia mambo yao wanamaliza nje wakirudi nyumbani ni respect inatembea kama kawaidaSawasawa mkuu! Nashangaa kuna ng'ombe hapo juu imeshupalia ilete house girl halafu imgeuze kuwa mke! Ukishamweja ndani kukusaidia kazi huyo ni mwanafamilia wala hupaswi kumtamani!
Kwani kumuoa mwanamke ndio ukatili? Kumuoa si ndio unakua umemstiri kenge mkubwa wewe! Dada wa kazi ni binaadamu wape heshima zao na kuolewa ni baraka sio kwamba wao sio binaadamu hawawezi kuolewa!Anayefanya ukatili ni nani kati ya mimi ninatemheshimu dada wa kazi kama mwanafamilia wangu na wewe unayemmega? Wacha hizo wewe pimbi! Inaonesha hata uelewa wako kwenye maswala ya ukatili ni zero!