Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam

Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili

Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini

Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Mpunguzie kazi kwa kununua Washing Machine yenye kufua na kukausha nguo.

YAANI BADO MPAKA SASA MNAFUA NGUO KWA MIKONO!
 
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam

Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili

Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini

Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Kwanini hiyo kazi ya kutafuta housegirl usingemwachia mkeo
 
Kumbuka na yeye Ni MTU hivyo ukisema atafua nguo za watu wawili inamaana wewe na huyo housegel.
Utavumilia kulala nyumba moja bila shetani kukupitia.?
 
Kumbuka na yeye Ni MTU hivyo ukisema atafua nguo za watu wawili inamaana wewe na huyo housegel.
Utavumilia kulala nyumba moja bila shetani kukupitia.?
Sikumuhesabia yeye inamaana ningefanya hivyo angedhani watu watatu pamoja na yeye watakuwa wanne
 
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam

Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili

Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini

Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
umpatie check namba na salary scale ni tgs ya ngapi
 
mkuu kama ulikuwepo,sababu kitu ameenda kusema kwa mama wa yule binti ni kuwa ntakuwa namtaka yule binti nimchezee,kaenda kupanda hiyo mbegu kichwani mwa mama wa yule binti. Sasa wasiwasi wangu mkubwa,huyo mfanyakazi mwenzangu "kaoa" mwanaume jobless,alafu ni mwanamke havutii kimuonekano na muda mwingi anashida kazini,Nyumbani atakuwa anamuacha huyo binti wa kazi na mumewe,naona kabisa jamaa anaenda kumla yule mtoto. Sasa ni heri angeliwa na mimi hata nikimpa mimba nalea bila shida kuliko bomu waliloenda kulipanga huko. Ni suala la muda tu....
🤣🤣🤣🤣🤣Me nikajua unaongea umuoee kumbe na wew unataka kumlaa tu umuache??? Mbona unaweza kumlaa akiwa huko alikoenda acha uzuzuuu
 
Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Huyo mwanamke alikuwa na wivu wa kijinga kakukosesha mke kabisa yani.
 
Sawa mkuu, ila ukisema mtoto, wengi watarejea umri uliopo chini ya sheria
Hapana mdogo kwa mana kwamba hakuna kazi nyingi wala ngumu za kuhitaji mtu mzima na hata kama ni mdogo hakuna changamoto zozote zitakazomkumba atakuwa sehemu salama sana
 
Back
Top Bottom