Hapana mdogo kwa mana kwamba hakuna kazi nyingi wala ngumu za kuhitaji mtu mzima na hata kama ni mdogo hakuna changamoto zozote zitakazomkumba atakuwa sehemu salama sanaSawa mkuu, ila ukisema mtoto, wengi watarejea umri uliopo chini ya sheria
Nimekuelewa mkuu, ingawa siku hizi ni changamoto kidogo kuwapata, na hapo Kati kuna madalali ndio hawatabiriki kabisaHapana mdogo kwa mana kwamba hakuna kazi nyingi wala ngumu za kuhitaji mtu mzima na hata kama ni mdogo hakuna changamoto zozote zitakazomkumba atakuwa sehemu salama sana
Naomba tuishie hapo maana huelewi tunachopinga! Umeona kuna mahali nimesema house girl asiolewe? Inaonekana huna uelewa wowote kuhusu PSEA! Samahani sana!Kwani kumuoa mwanamke ndio ukatili? Kumuoa si ndio unakua umemstiri kenge mkubwa wewe! Dada wa kazi ni binaadamu wape heshima zao na kuolewa ni baraka sio kwamba wao sio binaadamu hawawezi kuolewa!
HahaaaaaNiliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Dogo toka juzi huyo anatukana kila mtu humu JF. Achana naye anashida zake huyo.Naomba tuishie hapo maana huelewi tunachopinga! Umeona kuna mahali nimesema house girl asiolewe? Inaonekana huna uelewa wowote kuhusu PSEA! Samahani sana!
Asante mkuu! Kwa kweli nimeamini kuna ng'ombe zilipelekwa shule kwenda kukua wala siyo kuelemika!Dogo toka juzi huyo anatukana kila mtu humu JF. Achana naye anashida zake huyo.
Unaomba po ndio game nimeanza? Maana ya kusema haifai housegirl kuolewa ulitaka umaanishe nini ewe puguani??Naomba tuishie hapo maana huelewi tunachopinga! Umeona kuna mahali nimesema house girl asiolewe? Inaonekana huna uelewa wowote kuhusu PSEA! Samahani sana!
Wanawake wana mbinu rahisi za kupata housegirls na isitoshe fika ofisi za CHODAWU wapo wa kumwagaSio kila mwanamke anatumia JF
Umefanikiwa kupata?Shukrani mkuu
Ndugu kwenye nyuzi za ma-house girl hukosekani kabisa aiseeUlipatwa na wivu wa nini sasa?Siyo ukaanza kumtamani?
Mimi mwenyewe natafuta kazi ya u-houseboy mkuu.Ndugu kwenye nyuzi za ma-house girl hukosekani kabisa aisee