Natafuta company ya mkaka ambayo italeta mahusiano serious

Mkiwa in between 20-27 mnalinga na kutuoNa wanaume wote ni vifurushi ambao hatujielewi.
Umri ukisogea na huko chini kukianza kuzeeka mnajifanya kulegeza masharti Kama world bank.


Sasa na sisi wanaume tumejiapiza wanawake Kama Nyie ni wa kuchakatwa papuchi mpaka mkome halafu tunawaacha solemba Hadi mzeeke ili muwe funzo kwa vizazi vijavyo. Shwaini wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hata sisi leo tumekumbukwa!!
 
Anthonia Orji anasema:
Mwanaume mmoja mwenye ndoa alimpa date mchepuko na kumwambia:"baby nambie maneno yatakayo ongeza mapigo ya moyo wangu." Mchepuko ukamjibu: "mkeo ameketi hapa nyuma yetu." [emoji16] #KSK_Balozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaishia kukutana na viumbe wa ajabu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila lakheri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah kwahyo ushawahi kujitosa kama mabaharia wanavyofanya hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muachage kuringa ringa mkiwa wadogo wadogo, wabichi Wabichi
Elimu ya chuo imewakosesha nafasi watu wengi sana ungeweka angalau elimu ya la saba
 
Reactions: dtj
Njoo pm bebi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una chura ya maana lakini? Ebu tosheleza maelezo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…