Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 96
- 115
- Thread starter
- #41
Hello wadau wajukwaa la jamii forum mimi ni kijana mkazi wa Dar es Salaam
By professional ni fundi chuma msusi wa nondo
Natafuta kazi kwenye kampuni za ujenzi au mtu mmoja kama anakazi hizo
Pia kama unamradi wa ujenzi unahitaji msimamizi nafanya kazi hiyo kwa ufanisi mkuu
Nimefanya kazi
Sgr nikiwa na yapi merkezi
Nimefanya kazi ubungo interchange nikiwa na ccec
Nimefanya kazi chico ujenz wa mto sinza
Kama contractor yoyoye ananihitaji
Contact 0745000157
By professional ni fundi chuma msusi wa nondo
Natafuta kazi kwenye kampuni za ujenzi au mtu mmoja kama anakazi hizo
Pia kama unamradi wa ujenzi unahitaji msimamizi nafanya kazi hiyo kwa ufanisi mkuu
Nimefanya kazi
Sgr nikiwa na yapi merkezi
Nimefanya kazi ubungo interchange nikiwa na ccec
Nimefanya kazi chico ujenz wa mto sinza
Kama contractor yoyoye ananihitaji
Contact 0745000157