Habari za muda huu ndugu zangu,
Kwa majina naitwa Leilah binti wa miaka 23 jinsia mwanamke. Lengo la kuandikia ujumbe huu ni kuomba msaada wenu wakubwa. Nina u1hitaji wa ajira yoyote ile nitafanya (am strong enough)nitafanya kwa uamanifu na heshima ya hali ya juu
Kuhusu elimu pia nimesoma hadi kidato cha sita na niko vizuri katika kuongea lugha ya kingereza
Nahitaji kibarua chochote or ajira yoyote nitashukuru sana kama nitafanikiwa inshaaAllh.
Asanteni sana kwa mwenye msaada wowote na mimi usiisite kuni PM. Muwe na na mjukumu mema🙏
Kwa majina naitwa Leilah binti wa miaka 23 jinsia mwanamke. Lengo la kuandikia ujumbe huu ni kuomba msaada wenu wakubwa. Nina u1hitaji wa ajira yoyote ile nitafanya (am strong enough)nitafanya kwa uamanifu na heshima ya hali ya juu
Kuhusu elimu pia nimesoma hadi kidato cha sita na niko vizuri katika kuongea lugha ya kingereza
Nahitaji kibarua chochote or ajira yoyote nitashukuru sana kama nitafanikiwa inshaaAllh.
Asanteni sana kwa mwenye msaada wowote na mimi usiisite kuni PM. Muwe na na mjukumu mema🙏