Natafuta kijana wa kazi kutoka Kigoma

DKNY

Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
30
Reaction score
10
Habari za leo wadau.

Natafuta kijana wa kulinda mji na kuweka msafi wakati wote kutoka kigoma. Awe;

1. MUAMINIFU,
2. mcha MUNGU
3. MKWELI na
4. MCHAPA KAZI KWELIKWELI

Mshara ni Tzs 100,000/= kwa mwezi.

Atatumiwa nauli ya kutoka huko kija huku.

Naomba anitafute kwa namba hizi 0787998926.

Asanteni sana.
 
Mpaka awe mametokea kigoma ndo anapata kazi
 
Vile matapeli tunawahi pm kwako kwa haraka kuja kula hiyo nauli ya bure๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kilimanjaro ni wachapa kazi, hawana uswahili, ila usimdhulumu kwani utaimba Alleluya isiyo na mwisho.
 
Taarifa fupi ya kazi husika ni IPi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ