Rola Alexander
Member
- Feb 23, 2023
- 20
- 61
- Thread starter
-
- #121
Alafu PM hujafika mpk sahivi au ushamata unaemtafuta
πAlafu PM hujafika mpk sahivi au ushamata unaemtafuta
Mahaba yenu mazito sanaπππMipaka gani tena jamani
Hata huyo anayejiita mwerevu hawezi kuuvunjaMahaba yenu mazito sanaπππ
Kwa mtu anayejua akili za watu, nyie mna ushikaji ambao kwa kweli mjinga hawezi kuuvunja.
Mipaka gani tena jamani
πππ na huyo mjinga au yeyote asikae akatokeaMahaba yenu mazito sanaπππ
Kwa mtu anayejua akili za watu, nyie mna ushikaji ambao kwa kweli mjinga hawezi kuuvunja.
Hata huyo anayejiita mwerevu hawezi kuuvunja
Maana atajikuta kavunjika yeye hata kabla hajatufikia π€£π€£πππ na huyo mjinga au yeyote asikae akatokea
Mwanaume akiingia kati yenu yanakufafaπππ na huyo mjinga au yeyote asikae akatokea
π€£π€£π€£
Kuna pimbi ilitaka jiingizaMwanaume akiingia kati yenu yanakufafa
Ni pimbi naongelea mwanaume anajielewaKuna pimbi ilitaka jiingiza
Ina bahati ilichomoka kabla hatujaitia lock π
Tutamtoa kujielewaHiyo
Ni pimbinaongelea mwanaume anajielewa
Na huyo mwanaume wa kutaka kuvunja urafiki naye ni pimbi tu.Hiyo
Ni pimbinaongelea mwanaume anajielewa
Ukinitongoza tuKuna midude ikiingia kati yenu anakula wote bila nyie kujua.
Kibaya zaidi mkikolea kila mmoja ndipo mnagundua mnatafunwa woteπ€£π€£π€£
Bahati mbaya hatuko humu kwa sababu hiyo.Kuna midude ikiingia kati yenu anakula wote bila nyie kujua.
Kibaya zaidi mkikolea kila mmoja ndipo mnagundua mnatafunwa woteπ€£π€£π€£