Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
-
- #181
Kazi ni kazi tu kweli kabisaYeye kasema anaefanya kazi…so hata kubeba mabox ni kazi TI…fanya fanya mambo ndugu yangu tule ubwabwa aise..
Hivi ni kweli huku ndani mtu unaweza kupata mume au mke wa kuoa?
Kama ni kweli ngoja nikamilishe mipango yangu nije na bango humu ndani la kutafuta mume haki tena
Kweli kabisaNa dm ma fisi maji yatakuwa yameshamcheki. Huyu ni janja janja tu.
Nimekufahamu nitalifikiria ahsante saanaUtapata dada. Wapo wa dini yako. Wapo warefu kuliko wewe. Wapo wa London wapo wenye kazi na wapo 41+.
Ila ungeqeka ka picha waone ka sura figure na mengineo ingenoga na ungepata fasta
Nikubadilisha ya sasa na kuweka ya mimi mzima.Nimekufahamu nitalifikiria ahsante saana
🙏🙏Mwenyezi Mungu akujalie hitaji la moyo wako...
Kweli kabisaEve akili zako unazijua mwenyewe
Nimeliona hilo tayariYaani humu vijana ni wahovyo sana usishangae wanakuuliza miaka yote ulikua wapi
Na wao ni waongo mnooNimeliona hilo tayari
Muislamu ahasante saanaTunaomba ufafanuzi hapo kwenye misingi ya dini. Ni dini gani? Je, mume wako mtarajiwa awe wa dini gani na wewe ni dini gani?
Lazima niishi huko London ?Muislamu ahasante saana
Mimi nafanya kazi pia sijakalia maslahiShida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
NdioLazima niishi huko London ?
Posti ni moja tu lakini, nilikosea nikarekepisha tena.Kwani kuna posti ngapi za hili tangazo..
Mbona kila nikituma meseji yangu inafutwa au natuma kwenye posti nyingine?
Nitaikosa bahati hivi hivi
Hawa Mods wananichawia....
Nimeliona hilo tayari
🙏🙏Jaman wanachama wenzangu wa above 41 CHAPUTA mliopo london fursa hiyo ,mtuwakilishe vyema watu wa buza huku
🙏🙏Mashallah ningekuwa na vigezo na nipo London, tungefunga ndoa tumalizie ujana na kuzeeka pamoja.
Unatoa tigipesa?Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
🙏🙏Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Maana yakeUnatoa tigipesa?
Mungu akukumbuke katika hitaji lako ndugu yanguKazi ni kazi tu kweli kabisa