Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Well said ,[emoji108][emoji108]
 
Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Issue ni vigezo na masharti. Wanaoolewa ni Wale wanaotarajiwa kumpata mwenzi yeyote ili Mradi anapumua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 41 bado unaweka masharti yote hayo? anyway usisite kutupa mrejesho
 
HUko uliko hamna wanaume? Kama huko ulaya kote na unapofanyia kazi umeshindwa kupata basi wewe utakua una makandokando mengi KWAIO umeshindikana, mana miaka 40+ lazima una shida
Umeiacha london unakuja kwenye mitandao ya kijamii [emoji3]
 
Hapa umejidhihirisha una shida kubwa sana. Hio miji haifikiki? Wewe unajifungia ndani 24/7? Huko unakofanya kazi hamna wanaume? Hadi miaka 40 ulikua unafanya nini kama si una shida? Kwanini uwakatae wa huko uliko, udhanie kwenye mitandao ya kijamii ndio uwapate, Au nyie ndio wanawake wa beijing?
 
Nahisi hutaki kunifahamu nishajibu tayari yote.
Na juwa kuheshimu WATU ndio ungwana.
Ukiambiwa ukweli unakimbilia heshima uheshimiwe..Ushauri wa bure, badilika na badilisha mindset yako na tabia yako, la sivyo miaka 50 utajikuta bado unachagua chagua
 
Sasa mimi wa Tandahimba huku nitaoa kweli kwa hali hii?
 
Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?

Mtu una miaka 41, bado unaweka masharti kibao!? Utaehani wewe ndiye mfungua mlango wa mbinguni? Hadi kuja humu maana yake umesubiri weee, ukaona umri unakimbia.

Omba Mungu akujaalie mume mwema.
 
Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?

Mtu una miaka 41, bado unaweka masharti kibao!? Utaehani wewe ndiye mfungua mlango wa mbinguni? Hadi kuja humu maana yake umesubiri weee, ukaona umri unakimbia.

Omba Mungu akujaalie mume mwema.
Kuna tatizo gani kutaka kutoka London lakini awe mtazania mwezangu.
 
Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?

Mtu una miaka 41, bado unaweka masharti kibao!? Utaehani wewe ndiye mfungua mlango wa mbinguni? Hadi kuja humu maana yake umesubiri weee, ukaona umri unakimbia.

Omba Mungu akujaalie mume mwema.
Nani aliyokwambia nimesubiri tu miaka yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…