Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
-
- #281
Sio hapa, hapanifai, ukikosea wakufahamishe pole pole bali maneno maneno tu sio tabia yanguUmekaa sana London hadi umesahau maandishi ya kiswahili na kuyaelewa.Bado haujapata mume?Ndiyo swali langu.
Unaonekana hupendi kujifunza mambo mapya kutoka katika tabia za wana JF!Unapimwa ustahimilivu wako.Tuliza wahka!Sio hapa, hapanifai, ukikosea wakufahamishe pole pole bali maneno maneno tu sio tabia yangu
Maneno maneno na ustahamilivu wapi.Unaonekana hupendi kujifunza mambo mapya kutoka katika tabia za wana JF!Unapimwa ustahimilivu wako.Tuliza wahka!
Kuwa mvumilivu.Sasa ukiambiwa hivyo ndiyo uitoroke JF?Hapo bado haujatukanwa.Ukitukanwa itakuwaje?Maneno maneno na ustahamilivu wapi.
Mtu anasema navuruga thread za watu kuwa najibu kila mtu. Nikaomba msamaha bado wansukusema kuliko kukuelekeza vyema.
wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
Ndio nikasema hapanifai kabisa. Halafu kaka mmoja nilipokuwa najibu thread za watu anesema ningejifunza kwanza ndio nijibu. Sasa watu wanakuandikia ukae kimpya, hiyo si tharau kutojibu.Kuwa mvumilivu.Sasa ukiambiwa hivyo ndiyo uitoroke JF?Hapo bado haujatukanwa.Ukitukanwa itakuwaje?
Powa tu hajazalimwishwa mtu, tulia.wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.
Ati awe muislamu, awe mrefu, awe anaishi London, awe above 41, awe na kazi ya ofisini, awe awd awe awe ***** hapo vigezo vingine kamezea tu. Wanaume tuko simple tabia njema na mzuri wa muonekano basi.
Kwani unavyojitathmini,weye unajua kila kitu maishani?Ndio nikasema hapanifai kabisa. Halafu kaka mmoja nipokuwa najibu thread za watu anesema ningejifunza kwanza ndio nijibu. Sasa watu wanakuandikia ukae kimpya, hiyo si tharau kutojibu.
Chengine soma vizuri sikusema awe na kazi gani !!wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.
Ati awe muislamu, awe mrefu, awe anaishi London, awe above 41, awe na kazi ya ofisini, awe awd awe awe ***** hapo vigezo vingine kamezea tu. Wanaume tuko simple tabia njema na mzuri wa muonekano basi.
Sio hivyo lakini sio mtu wa maneno manenoKwani unavyojitathmini,weye unajua kila kitu maishani?
Ndiyo kuishi na watu huko.Siyo lazima muwe nyumba moja.Pendelea kuyajua uyapendayo na uyachukiayo.Sio hivyo lakini sio mtu wa maneno maneno
Ndio hayo yananishinda MANENO MANENONdiyo kuishi na watu huko.Siyo lazima muwe nyumba moja.Pendelea kuyajua uyapendayo na uyachukiayo.
Ni maandishi tu.Mengine puuzia.Au wanakutumia na audio?Ndio hayo yananishinda MANENO MANENO
Ulipokua 20's uliwakataa waoaji wangapi? Kila la heri ma mdogoMimi nimejiunga kutafuta mume tu sio chengine chochote. Ahsante saana.
Njoo PMSio hapa kabisa
Haya kazi kwako sasaNimesha waona [emoji120][emoji120]
HahahahaKigezo nilichonacho ni urefu tu [emoji38][emoji38]