Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Maneno maneno na ustahamilivu wapi.
Mtu anasema navuruga thread za watu kuwa najibu kila mtu. Nikaomba msamaha bado wansukusema kuliko kukuelekeza vyema.
Kuwa mvumilivu.Sasa ukiambiwa hivyo ndiyo uitoroke JF?Hapo bado haujatukanwa.Ukitukanwa itakuwaje?
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.

Ati awe muislamu, awe mrefu, awe anaishi London, awe above 41, awe na kazi ya ofisini, awe hana mtoto, awe awe awe awe ***** hapo vigezo vingine kamezea tu. Women are not realistic. Mkuu unamiaka 41 haujaolewa kwasababu ya hayo mavigezo msururu mreeefu kama mkojo wa mlevi.

Wanaume tuko simple tabia njema na mzuri wa muonekano basi.
 
wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.

Ati awe muislamu, awe mrefu, awe anaishi London, awe above 41, awe na kazi ya ofisini, awe awd awe awe ***** hapo vigezo vingine kamezea tu. Wanaume tuko simple tabia njema na mzuri wa muonekano basi.
Powa tu hajazalimwishwa mtu, tulia.
 
Ndio nikasema hapanifai kabisa. Halafu kaka mmoja nipokuwa najibu thread za watu anesema ningejifunza kwanza ndio nijibu. Sasa watu wanakuandikia ukae kimpya, hiyo si tharau kutojibu.
Kwani unavyojitathmini,weye unajua kila kitu maishani?
 
wanamake hua wana msururu wa vigezo na ndio maana hawaolewi mpaka wanafikisha 41 na watafikisha mpaka 100.

Ati awe muislamu, awe mrefu, awe anaishi London, awe above 41, awe na kazi ya ofisini, awe awd awe awe ***** hapo vigezo vingine kamezea tu. Wanaume tuko simple tabia njema na mzuri wa muonekano basi.
Chengine soma vizuri sikusema awe na kazi gani !!
 
Mimi nipo bongo ndo sifa imenibana nifanyie mchongo nije tuanzishe familia mke wangu mtarajiwa
 
Kila Heri , Hope DM imeejaaa

Ila sisi wa landon utuwekee email tutume maombi yetu.
 
Back
Top Bottom